cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Inacheza UEFA, haya manyua na asenyali?Mnajipa moyo wakati timu mbovu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inacheza UEFA, haya manyua na asenyali?Mnajipa moyo wakati timu mbovu
Hao ndo walewaleInacheza UEFA, haya manyua na asenyali?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni wakali wangapi wametua na wakapotea. Ref.chelsea.Kumbukeni Haaland ametua Uk usimchukulie hivyo jamani ni nomaa..
Mie sio shabiki wa Chelsea ila nasema ukweli.Hao ndo walewale
[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]unaruka mita 100Mie sio shabiki wa Chelsea ila nasema ukweli.
Khaaaah uliza uambiwe, mie sio shabiki wa Chelsea, ila nasema ukweli.[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]unaruka mita 100
Haya sasa wewe timu gani?Khaaaah uliza uambiwe, mie sio shabiki wa Chelsea, ila nasema ukweli.
Si wana Nunez auLiverpool in bora msimu huu wamchukue Sakho maana forward yao ni mbovu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shabiki mkubwa wa ETIHAD.Haya sasa wewe timu gani?
Kumbe timu mojaShabiki mkubwa wa ETIHAD.
Haswaaaaah.Kumbe timu moja
GoodHaswaaaaah.
Man U sasa hivi hatukosi top 3