Wale wa EPL tabiri top 4 yako mapema ukianza na bingwa!

Wale wa EPL tabiri top 4 yako mapema ukianza na bingwa!

Bado Arsenal cmpi nafasi mkuu. Ana mechi ngumu kuliko City na ukiangakia pengo la point c kubwa sana kikubwa kinachonopa iman kuwa hatochukua ana game na city

Yaan game alizocheza zote huko ni rahisi, ila hizo game 9 zilizobaki ndo ngumu kweli kweli.

Nadhani sio haki kuchambua kwa namna hii. Hata kama hatupendi Arsenal iwe bingwa. Tuwape heshima yao kwa kuwapa nafasi wao kwanza labda itokee vinginevyo.
 
Back
Top Bottom