Poker
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 5,445
- 14,828
- Thread starter
- #161
Kwa consistency anaongoza city na Liverpool ila kwa mzunguko wa pili wa ligi arsenal na spurs walifanya vizuri sana!Lakini mwisho wa msimamo ulikuaje?? Unazungumzia match moja moja? Zungumzia team nzima na mfumo wake ki concistance,
Arsenal na totte haizifikii Chelsea.
Ukweli ndo huo.