Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
👏1. Man cty
2. Chelsea
3. Liver
4. Man u
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
👏1. Man cty
2. Chelsea
3. Liver
4. Man u
Hiyo Aseno inatokea uyole[emoji848]
Acha roho ya kwaniniKwa kweli amepanga kiherufi..
Ukiona mtu anaanzia na Asenali ujue ameenda Chaka.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Hili ni jukwaa la vichekesho?Arsenal
City
Spurs
Liverpool
Chelsea wana miujiza gani sasahiviUnawazimu wee, nimtoe kwa kipi? Yaan totte na arsenal zimzidi Chelsea? Hauko serious
Wewe ulitaka kuona miujiza ipi?Chelsea wana miujiza gani sasahivi
Ya kipindi cha nyumaWewe ulitaka kuona miujiza ipi?
We jamaa una bifu na manjesta1- Man City
2- Liverpool
3- Tottenham Hotspur
4- Arsenal
N.B Man Utd watakuwa wa 7/8!
Wewe utakuwa mshabiki wa ArsenalMani city
Arsenal
Liverpool
Lester city
Tukutane mwakani
Ya 5: Chelsea
6: man u
7: westham
8 Tottenham
Nini imekufanya usiiweke Chelsea Kwenye top 4Ya kipindi cha nyuma
Lakini mwisho wa msimamo ulikuaje?? Unazungumzia match moja moja? Zungumzia team nzima na mfumo wake ki concistance,
Arsenal na Totte zina mazingaombwe gani?? Sasa hivi??Chelsea wana miujiza gani sasahivi
Hahaha hahaha mkuu tusubiri muda ni mwalimu mzuriWewe utakuwa mshabiki wa Arsenal