Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
1. ManCity
2. Spurs
3. Liverpool
4. Chelsea
NB:
Arteta atafukuzwa Arsenal
2. Spurs
3. Liverpool
4. Chelsea
NB:
Arteta atafukuzwa Arsenal
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana mpira ganiSpurs attachallenge ubingwa
Tuliza boliAna mpira gani
[emoji23][emoji23][emoji23]Tuliza boli
Man u wanashuka daraja1- Man City
2- Liverpool
3- Tottenham Hotspur
4- Arsenal
N.B Man Utd watakuwa wa 7/8!
Ubovu wake upo wapi? ndio hoja unatakiwa uitoeMbovu ndio jiandae kufuta hilo jina ka huyo garasa!
Umeongea ushabiki badala kutoa hoja kama mshabiki wa mpiraKocha wa kwanza kufukuzwa kwenye timu kubwa
1.Arteta_Arsenal
2.Chelsea_Tuchel
hao kumaliza msimu ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.
Jamaa analeta chuki badala ya hoja ana nishangaza sanaHauko serious wee.
Hata me inanishangaza ukiwa na kitu lazima uchukiweHivi kwa Nini Chelsea inachukiwa ???
Kitu ganiHata me inanishangaza ukiwa na kitu lazima uchukiwe
Ni Arsenal mkuu ungemuuliza ukiachana na Man city na Arsenal team gani nyingine imetufungaUkiacha man city ni big six gan mwingine alitufunga?
MafanikioKitu gani
1- Man City
2- Liverpool
3- Tottenham Hotspur
4- Arsenal
N.B Man Utd watakuwa wa 7/8!
Kila timu ina mafanikioMafanikio
1Tottenham, 2-Man city 3arsenal 4 Chelsea1- Man City
2- Liverpool
3- Tottenham Hotspur
4- Arsenal
N.B Man Utd watakuwa wa 7/8!
Yupo vyema naye...Hamna timu hapo
MnateteanaYupo vyema naye...