mzalendo namba moja
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 537
- 837
- Thread starter
- #41
JINSI YA KUTENGENEZA KIWI (DAWA)YA VIATU
MAHITAJI
√bee wax (nta ya nyuki) ¼kilo
√mafuta ya zeituni vijiko 5 vya chakula
√brown oxide au black oxide-inapatikana SIDO au Allied chemicals
Nitatoa namba mwishoni ya Allied chemicals kwa atakayehitaji ataagiza.
MCHAKATO
Chukua sufuria liweke kwenye moto wa kadri, kisha weka maji kwa sufuria kidogo tu kama nusu lita hivi kisha weka bakuri la plastic lielee juu ya maji alafu chukua nta yako igawanyishe mara mbili (nusu ya robo) alafu nusu ya kwanza itunze tu kwa matumizi ya wakati mwingine, alafu nusu ya pili ikate kate vipande vidogovidogo kisha viweke kwenye bakuli linaloelea kwa maji yanayoendelea kupata moto
Weka mafuta ya zeituni vijiko 5 pamoja na nta na anza kukoroga taratibu mpaka mchanganyo uyeyuke kabisa na baada ya hapo weka kijiko kimoja na nusu cha black au brown oxide(usiweke zote) Kisha endelea kukoroga mpaka mchanyato wako uungane kabisa, kisha mwaga huo mchanganyo kwa kopo lako safi na liache kwa nusu saa hivi lipoe kabisa na tayari mambo yatakuwa murua kabisa
Tumia dawa yako ya viatu kadri upendavyo
MAHITAJI
√bee wax (nta ya nyuki) ¼kilo
√mafuta ya zeituni vijiko 5 vya chakula
√brown oxide au black oxide-inapatikana SIDO au Allied chemicals
Nitatoa namba mwishoni ya Allied chemicals kwa atakayehitaji ataagiza.
MCHAKATO
Chukua sufuria liweke kwenye moto wa kadri, kisha weka maji kwa sufuria kidogo tu kama nusu lita hivi kisha weka bakuri la plastic lielee juu ya maji alafu chukua nta yako igawanyishe mara mbili (nusu ya robo) alafu nusu ya kwanza itunze tu kwa matumizi ya wakati mwingine, alafu nusu ya pili ikate kate vipande vidogovidogo kisha viweke kwenye bakuli linaloelea kwa maji yanayoendelea kupata moto
Weka mafuta ya zeituni vijiko 5 pamoja na nta na anza kukoroga taratibu mpaka mchanganyo uyeyuke kabisa na baada ya hapo weka kijiko kimoja na nusu cha black au brown oxide(usiweke zote) Kisha endelea kukoroga mpaka mchanyato wako uungane kabisa, kisha mwaga huo mchanganyo kwa kopo lako safi na liache kwa nusu saa hivi lipoe kabisa na tayari mambo yatakuwa murua kabisa
Tumia dawa yako ya viatu kadri upendavyo