Wale wa vijijini, tunamshukuru Mungu watu wa mijini kukosa maji, acha tuwe sawa!

Wale wa vijijini, tunamshukuru Mungu watu wa mijini kukosa maji, acha tuwe sawa!

Paulsylvester

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2021
Posts
1,464
Reaction score
3,379
Maeneo mengi sana ya vivijini, mvua zikikata tu, na maji ya kunywatayari yanakuwa ya taabu saana tokea Uhuru

Katika jimbo la Chalinze Kwa mfano, yapo maeneo Kwa kiangazi hiki, hawaogi mwezi mzima, wana kunywa maji Kwa kupangiana, kwamba mtu anywe Mara moja tu Kwa siku zaidi ya hapo, hakuna maji

Baba na midevu yake, kazi yake Ni kwenda umbali wa kilometers zaidi ya 20 kutafuta maji, na maji menyewe anauziwa Kwa ndoo Lita 20 Kwa tsh 800, maisha gani haya?

Kodi kila mwezi zinakusanywa, lakini kwamba wananchi wamefanyiwa mini cha maana, hakuna!

Kuanzua makurunge mpaka miono, hali ni mbaya sana Kwa upande wa maji!

Nadhani sasa, tutaelewana, watu wa mijini mkose maji ili kilio kiwe cha sauti moja na wavijini!
 
Mkuu hama kijijini njoo mjini lazima utofauti uwepo kati ya mjini na kijijini vilio haviwezi kua sawa labda kwenye upande wa bando tunaweza lia sawa , kwa upande wangu mimi , toka mwaka 2018 sijawahi tumia maji ya nua
 
Huko kijijini mchele kilo moja Bei gani ulizia then utupe majibu.?
 
Mkuu hama kijijini njoo mjini lazima utofauti uwepo kati ya mjini na kijijini vilio haviwezi kua sawa labda kwenye upande wa bando tunaweza lia sawa , kwa upande wangu mimi , toka mwaka 2018 sijawahi tumia maji ya nua
Mkuu, ujue hata kura Mara nyingi mnazitegemea za vijijini eeh!
 
Naunga hoja mkono, watu wa mjini huwa wanasahau sana uhalisia wa maisha ya Watanzania wengi ambako maisha yao ni vijijini.
 
Huko kijijini mchele kilo moja Bei gani ulizia then utupe majibu.?
Uulizie pia cement huko kwenu mijini, ukipata jibu ujee utwambie ni Kwa nini bidhaa zinazozalishiwa mijini zina ughali sana zikija vijijini
 
Chalinze miaka ya nyuma ndio walipata maumivu,Ila kwa Sasa walau nafuu maji dawasco yanatoka ruvu mpaka chalinze,wamshukuru Sana mwenda zake,miono napo naona wanapata maji kutoka mto wami
 
Maeneo mengi sana ya vivijini, mvua zikikata tu, na maji ya kunywatayari yanakuwa ya taabu saana tokea Uhuru

Katika jimbo la Chalinze Kwa mfano, yapo maeneo Kwa kiangazi hiki, hawaogi mwezi mzima, wana kunywa maji Kwa kupangiana, kwamba mtu anywe Mara moja tu Kwa siku zaidi ya hapo, hakuna maji

Baba na midevu yake, kazi yake Ni kwenda umbali wa kilometers zaidi ya 20 kutafuta maji, na maji menyewe anauziwa Kwa ndoo Lita 20 Kwa tsh 800, maisha gani haya?

Kodi kila mwezi zinakusanywa, lakini kwamba wananchi wamefanyiwa mini cha maana, hakuna!

Kuanzua makurunge mpaka miono, hali ni mbaya sana Kwa upande wa maji!

Nadhani sasa, tutaelewana, watu wa mijini mkose maji ili kilio kiwe cha sauti moja na wavijini!
Akili za mtu. Mweusi,akili za maskini,akiona mwenzie anaumia,yeye anafurahi,anaona ni Bora wote muwe maskini,mpigike!!muwe mafukara,
Kuna jamii hapa nchini,ukifanikiwa ukawa na ukwasi,usirudi kijijini kwenu,ukirudi tu,unapigwa juju Ili ufe wewe na kizazi chako,watu wanataka wote muwe mafukara,maskini,Kuna watu kwa sababu hawana Wala hawajuhi mbinu za kujikwamua kiuchumi,inawakera ikitokea mtu mmoja kwenye jamii zao,akafanikiwa!!dawa wanaona wamroge tu,afe,au akimbie Ili yabaki na umaskini waliyozoea!!
Sasa wewe watu wa mjini wakiwa na huduma Bora za kijamii,inakukera nini!!anayepanga sera sio watu wa "mjini"per SE,ni serikali(waliopewa madaraka),sasa kufurahia hari tete inayowapata wstu wa mjini,kwa sababu tu ,hari ipo hivyo huko vijijini kwa muda mrefu,ni akili za kijinga sana!
Badara ya kuumiza kichwa na kuwaza jinsi ya kutatua tatizo hili,we unafurahi..so shame,kweli mwafrika ni ngozi ya tako
 
Akili za mtu. Mweusi,akili za maskini,akiona mwenzie anaumia,yeye anafurahi,anaona ni Bora wote muwe maskini,mpigike!!muwe mafukara,
Kuna jamii hapa nchini,ukifanikiwa ukawa na ukwasi,usirudi kijijini kwenu,ukirudi tu,unapigwa juju Ili ufe wewe na kizazi chako,watu wanataka wote muwe mafukara,maskini,Kuna watu kwa sababu hawana Wala hawajuhi mbinu za kujikwamua kiuchumi,inawakera ikitokea mtu mmoja kwenye jamii zao,akafanikiwa!!dawa wanaona wamroge tu,afe,au akimbie Ili yabaki na umaskini waliyozoea!!
Sasa wewe watu wa mjini wakiwa na huduma Bora za kijamii,inakukera nini!!anayepanga sera sio watu wa "mjini"per SE,ni serikali(waliopewa madaraka),sasa kufurahia hari tete inayowapata wstu wa mjini,kwa sababu tu ,hari ipo hivyo huko vijijini kwa muda mrefu,ni akili za kijinga sana!
Badara ya kuumiza kichwa na kuwaza jinsi ya kutatua tatizo hili,we unafurahi..so shame,kweli mwafrika ni ngozi ya tako
Embu utuonyeshe wewe akili zako za kizungu zisizowakumbuka watu walioko kijijini!

Unaona sawa watu wa kijijini waishi hivyo Kwa maisha yao yote na wakati nchi ni ileile, watu ni walewale

Nyinyi wazungu wa mbagala mna tabu sana!
 
Sasa, Mimi sina akili za kizungu,Ila nazitafuta,maana wao wazungu,ndio waliogundua kila kitu hapa duniani,hakuna kitu kinatumika Afrika,ambacho hakijatumia akili ya mzungu,gari,tv,simu,umeme,internet,Ndege,dawa,
matatizo ya watu wa vijijini hayasababishwi na watu wa mjini,kwahiyo kufurahia madhira yanayowakuta watu wa mjini kwa vile tu watu wa vijijini wamekuwa wanaishi kwenye shida kwa muda mrefu,sio sahihi ni ujinga.
 
Sasa, Mimi sina akili za kizungu,Ila nazitafuta,maana wao wazungu,ndio waliogundua kila kitu hapa duniani,hakuna kitu kinatumika Afrika,ambacho hakijatumia akili ya mzungu,gari,tv,simu,umeme,internet,Ndege,dawa,
matatizo ya watu wa vijijini hayasababishwi na watu wa mjini,kwahiyo kufurahia madhira yanayowakuta watu wa mjini kwa vile tu watu wa vijijini wamekuwa wanaishi kwenye shida kwa muda mrefu,sio sahihi ni ujinga.
Wewe ndo mjinga, naamini umetoka kijijini, na ama una ndugu kijijini, iweje usione huruma Kwa waishio vijini Kwa mateso ya maji miaka nenda rudi!

Mtu wa kijijini na wa mjini, je, wanautofauti gani, Kwa nini unadhani huduma bora zinawastahili wa mijini!

Na endapo unaona hivyo, Kwa nini sisi wa vijijini unajiskia vibaya tukifurahia mkikosa hizo huduma kupitia Mungu asiyependa kubagua?
 
Maeneo mengi sana ya vivijini, mvua zikikata tu, na maji ya kunywatayari yanakuwa ya taabu saana tokea Uhuru

Katika jimbo la Chalinze Kwa mfano, yapo maeneo Kwa kiangazi hiki, hawaogi mwezi mzima, wana kunywa maji Kwa kupangiana, kwamba mtu anywe Mara moja tu Kwa siku zaidi ya hapo, hakuna maji

Baba na midevu yake, kazi yake Ni kwenda umbali wa kilometers zaidi ya 20 kutafuta maji, na maji menyewe anauziwa Kwa ndoo Lita 20 Kwa tsh 800, maisha gani haya?

Kodi kila mwezi zinakusanywa, lakini kwamba wananchi wamefanyiwa mini cha maana, hakuna!

Kuanzua makurunge mpaka miono, hali ni mbaya sana Kwa upande wa maji!

Nadhani sasa, tutaelewana, watu wa mijini mkose maji ili kilio kiwe cha sauti moja na wavijini!
Nyie Chimbeni Vidimbwi ndio HALALI yenu
 
Back
Top Bottom