Wale wacheza kamari CASSINO tukutane hapa

Uraibu huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ok nmekusoma mkuu we kumbe konki..kuna jamaa yangu pale legrand mi naendaga kula bia za bure na korosho tu...mwoga sana wa hayo maniaje...wanakwambia "inhouse"

READERS ARE LEADERS
cc
VITABU
Hahaha Kama ni member na unakadi utainjoi Sana. Me nimekula Sana pesa le grand Casino plus bia za bure kwa Mug
 
ingia wildjackpoint hipo online na inatambuliwa na skrill,paypal na unakula pesa bila kikwazo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…