Wale wagumu wa kupiga simu tukutane hapa

Wale wagumu wa kupiga simu tukutane hapa

Wote nyie Hamna hela tafuteni hela nyingi na mkizipata msiwe wachoyo
 
Hakuna shida, tatizo wabongo tumezoea kuishi kwa nfumo wa ujamaa zaidi.
 
Porojo***
kitaalamu mtu anayefanya hivyo anaitwa "Mpuuzi". yani mtu ambaye hayapi mambo madogo madogo umuhimu anayapuuza tu sio kwamba hayafahamu au hayajui? no but anaamua kuyapuuzaa tu anaskipuu sasa jamani muache upuuzi wenu hiyo tabia sio nzuri hata kidogo tukipata pisi Kali mbona simu hazikauki Daily , madili ya mawe mbona tunachongesha mpaka zigo linatiki mawasiliano ni _LAZIMA halooo!
 
Oya msitake kutuambukiza ujinga wenzetu kila wikiendi tunapiga simu kama hapa saa mbili hii naamka nisha piga simu baada ya hapo mpaka wikiendi ijayo nyie mnakaa mpaka mkumbushwe ndegelec kabisaaa
Karibu ujingani mkuu
 
Porojo***
kitaalamu mtu anayefanya hivyo anaitwa "Mpuuzi". yani mtu ambaye hayapi mambo madogo madogo umuhimu anayapuuza tu sio kwamba hayafahamu au hayajui? no but anaamua kuyapuuzaa tu anaskipuu sasa jamani muache upuuzi wenu hiyo tabia sio nzuri hata kidogo tukipata pisi Kali mbona simu hazikauki Daily , madili ya mawe mbona tunachongesha mpaka zigo linatiki mawasiliano ni _LAZIMA halooo!
Mkuu mi hata michepuko ndamtafuta bado hajanitunuku mbususu ikiliwa tu halooo atazisikia kwa kupiga yeye asiponicheki ndamtafuta nikiwa na genye
 
Ase mi nimgumu sana kupiga simu inaweza pita hata mwezi nisipige simu nyumbani au kwa wakwe,jukumu hilo analifanya wife haiwezi pita siku mbili hajapiga simu kwa ndugu zangu na zake wote

Wamesema nahisi wamechoka,
Kuna watu kweli wenye tabia kama zangu
Kinachonikera wanakua na maongezi marefu.....
 
Kwenye haiba za watu kuna makundi mawili. Kuna introverts n extroverts.
INTROVERTS hawa ni watu ambao ki asili maisha yao yako ndani, ni watu wa kuishi ndani tu na sio wepesi kuelezea hisia zao. Anaweza kuwa na jambo zuri kabisa la kushauri ili mfanikiwe lakini hasemi, hupenda kutumia muda mwingi peke ake akifany yanayomuhusu tu na ana amani. Huyu hutamuona mtandaoni sijui fb au insta kifupi maisha yake ni full of paswod.
EXTROVERTS Hawa ni watu ambao maisha yao ni gazeti, akiumwa mafua ntaa mzima watajua, akifurahi au kuchukua wote watajua. Misha yake hayana fence. Ni waongeaji sana sana yani ukipanda nae kwenye daladala Kibaha hadi kkoo tayari atakua kakusimulia kila kitu, alisoma wapi, mkewe yukoje n kila faili atasimulia.
MWISHO Ni vyema kujifunza ku balance haiba zetu. Mtu wa asili y ndani ajifunze kutoka na nje pia mana ana mwili. Na yule mwenye asili y nje basi sisahau pswd maan kuna mambo akiyasema yataharibu
 
Hii hali inanitesa sana, najitahidi kuondokana nayo lakini haijawa rahisi bado.
 
Back
Top Bottom