Wale wagumu wa kupiga simu tukutane hapa

Wale wagumu wa kupiga simu tukutane hapa

Ase mi nimgumu sana kupiga simu inaweza pita hata mwezi nisipige simu nyumbani au kwa wakwe,jukumu hilo analifanya wife haiwezi pita siku mbili hajapiga simu kwa ndugu zangu na zake wote

Wamesema nahisi wamechoka,
Kuna watu kweli wenye tabia kama zangu
Dah afadhali...

Nilijua ni mimi peke yangu...

Mimi siyo mvivu wa kupiga tu, hata kupokea huwa najitafakari kwanza.
 
Cha ajabu sasa kama Me ni mnywaji basi wale wanywaji wenzie anawakumbuka kila masaa. 😀😀

Mbadilike aisee sababu kama ni vifurushi huwa mnajiunga sana tu.
 
Ase mi nimgumu sana kupiga simu inaweza pita hata mwezi nisipige simu nyumbani au kwa wakwe,jukumu hilo analifanya wife haiwezi pita siku mbili hajapiga simu kwa ndugu zangu na zake wote

Wamesema nahisi wamechoka,
Kuna watu kweli wenye tabia kama zangu

Ugonjwa wa Mume wangu kila mtu anamlalamikia si kwao si kwetu si marafiki , imefikia stage napigiwa mimi simu basi nampigia namuambia Mpigie Baba ako sasa hivi halafu unijulishe ndiyo anapiga maana hatopokea zote ila mimi ni lazima apokee.

Sasa nina kazi ya kumtetea jamani...atleast akiwa home mtu akipiga nikisikia napokea namuekea sikioni.

Badilikeni jamani mwee
 
Mimi walishanizoea,ukweni kidogo nampigie shemeji-kaka tunapiga stori za kilimo, huwa ananikubali sana. Tofauti na hapo nakuwa sina jipya. Zamani walikuwa wanadhani naogopa kuombwa hela,kumbe ni hulka yangu tu. Wakipata shida ya kiafya au msiba wanamchek wife,hapo ndo nawapigia kutoa pole
 
Dah afadhali...

Nilijua ni mimi peke yangu...

Mimi siyo mvivu wa kupiga tu, hata kupokea huwa najitafakari kwanza.
Mkuu we umezidi hadi kupokea wajitafakari? Au wajua kuwa wataanza na lawama kwanini upo kimya muda mrefu hahaha! Hii hali inatusumbua wengi, mi hata mama akinipigia tu huwa najiandaa na maneno kama atauliza maswari flani flani.
Binafsi nahisi social networks nazo zinachangia hii hali; Ukiingia kwenye mitandao ya kijamii unamkuta, kwenye habari(jambo) flani unaona like au comment yake mara whatsApp unaona status zake au salamu ya kawaida. Hii inapunguza ule munkali wa kumpigia simu personally kujua his/her concerns mpaka litokee jambo kubwa ambalo linahitaji tansion ya kila mtu.
 
Dah afadhali...

Nilijua ni mimi peke yangu...

Mimi siyo mvivu wa kupiga tu, hata kupokea huwa najitafakari kwanza.
Mkuu we umezidi hadi kupokea wajitafakari? Au wajua kuwa wataanza na lawama kwanini upo kimya muda mrefu hahaha! Hii hali inatusumbua wengi, mi hata mama akinipigia tu huwa najiandaa na maneno kama atauliza maswari flani flani.
Binafsi nahisi social networks nazo zinachangia hii hali; Ukiingia kwenye mitandao ya kijamii unamkuta, kwenye habari(jambo) flani unaona like au comment yake mara whatsApp unaona status zake au salamu ya kawaida. Hii inapunguza ule munkali wa kumpigia simu personally kujua his/her concerns mpaka litokee jambo kubwa ambalo linahitaji tansion ya kila mtu.
 
Ase mi nimgumu sana kupiga simu inaweza pita hata mwezi nisipige simu nyumbani au kwa wakwe,jukumu hilo analifanya wife haiwezi pita siku mbili hajapiga simu kwa ndugu zangu na zake wote

Wamesema nahisi wamechoka,
Kuna watu kweli wenye tabia kama zangu
Kweli mkuu mimi mgumu mpaka najistukia sijampigia maza toka 1980......
enzi ta kutuma barua
 
Ugonjwa wa Mume wangu kila mtu anamlalamikia si kwao si kwetu si marafiki , imefikia stage napigiwa mimi simu basi nampigia namuambia Mpigie Baba ako sasa hivi halafu unijulishe ndiyo anapiga maana hatopokea zote ila mimi ni lazima apokee.

Sasa nina kazi ya kumtetea jamani...atleast akiwa home mtu akipiga nikisikia napokea namuekea sikioni.

Badilikeni jamani mwee
Kumbe na wew upo humu wife!!!
 
Hivi hili tatizo linatokana na nini? Binafsi sipendi kupiga wala kupokea simu, wiki iliyopita niligundua hata Sina namba ya mama mkwe wangu, nilimtumia zawadi akapiga kunishukru, sasa nikapokea nikijua ni namba ya fundi, nikaanza kufoka mara nasikia sauti "mwanangu huna namba yangu" nikakata simu ghafla, kidogo naona simu ya wife nikajua nimelivuruga, bahati nzuri nilijipanga nikamaliza msala.
 
Ugonjwa wa Mume wangu kila mtu anamlalamikia si kwao si kwetu si marafiki , imefikia stage napigiwa mimi simu basi nampigia namuambia Mpigie Baba ako sasa hivi halafu unijulishe ndiyo anapiga maana hatopokea zote ila mimi ni lazima apokee.

Sasa nina kazi ya kumtetea jamani...atleast akiwa home mtu akipiga nikisikia napokea namuekea sikioni.

Badilikeni jamani mwee
Au wewe ni mke wangu maana umepita mlemle kuna wakati anapokea simu anaweka loudspeaker halafu anakaaa kimya
 
Back
Top Bottom