Kwenye haiba za watu kuna makundi mawili. Kuna introverts n extroverts.
INTROVERTS hawa ni watu ambao ki asili maisha yao yako ndani, ni watu wa kuishi ndani tu na sio wepesi kuelezea hisia zao. Anaweza kuwa na jambo zuri kabisa la kushauri ili mfanikiwe lakini hasemi, hupenda kutumia muda mwingi peke ake akifany yanayomuhusu tu na ana amani. Huyu hutamuona mtandaoni sijui fb au insta kifupi maisha yake ni full of paswod.
EXTROVERTS Hawa ni watu ambao maisha yao ni gazeti, akiumwa mafua ntaa mzima watajua, akifurahi au kuchukua wote watajua. Misha yake hayana fence. Ni waongeaji sana sana yani ukipanda nae kwenye daladala Kibaha hadi kkoo tayari atakua kakusimulia kila kitu, alisoma wapi, mkewe yukoje n kila faili atasimulia.
MWISHO Ni vyema kujifunza ku balance haiba zetu. Mtu wa asili y ndani ajifunze kutoka na nje pia mana ana mwili. Na yule mwenye asili y nje basi sisahau pswd maan kuna mambo akiyasema yataharibu