Wale wahuni waliomuua Ghadaff nawalaani kila ninapopita na kuona kazi aliyofanya

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Muamar Ghaddaf alitusaidia sana kujenga Misikiti. Ukipita barabara ya kwenda Mwnza unakuta kiia baada ya kms kadhaa pembezoni mwa barabara kuna Msikiti.

Ukienda Tanga vivyo hivyo, ukienda Ntwara, ukienda Mbeya, Rukwa...

Kiukweli jamaa alikuwa jembe sana. Na pale Dodoma alitujengea Msikiti Mkuuuubwa kabisa. Kiukweli Ghaddaf alikuwa jembe sana. Alitusaidia sana kupata elimu. Sioni kama kuna mtu mwingine ambaye ameendeleza hili jambo.

Naombea aje kiongozi mwingine shupavu atujengee Misikiti mingi zaidi. Na wale waliomuua Jembe wakifika Akhera wasipate kitu. Wahasiwe kabisa washenzi wale.
 
Kumbuka ufictator hauna nafasi Dunia hii. Gadafi alikuwa anajua kila anayrmpinga ndo akatengeneza makundi ya ugaidi mengi nchini na wazungu walatumia kwanya huo kusude na waasi Hao. Jpm angekuwa Bado yupo ugaidi ingekuwa mwingi sana nchi hasa vikundi vidogi vidogi vya ugaidi. Nature ya binadamu siku zote ni kustrugle kupata anachokitaka
 
Magufuli alikuwa dictator!!? 🙄
 
Kujenga misikiti ndo maendeleo?
 
Wale Magaidi wa Kibiti walitengenezwa na kwa ushirikiano wa watu flani. Lengo hatukuweza litimiza kwa asilimia kubwa. Walikuwa treated vibaya sana wale ndugu zangu. Usinikumbushe machungu.
 
Bado mnataka misikiti? Inasikitisha sana
 
Umelitafuta ngoja waje
 
Sikubaliani na yale mauwaji ya Gadaffi, ila alikuwa mbaguzi sasa kujenga misikiti kuna faida gani kwa wasioihitaji wala kuitumia?
 

..Gaddafi naye aliua askari wetu wakati wa vita vya Kagera.

Mnaweza kumsifia lakini msisahau vijana wetu tuliowapoteza ktk vita dhidi ya Amin na rafiki yake Gaddafi.
 
Dp world wamekusikia watakujengea msikiti nyumbani kwako
 

Hapo kwenye elimu weka sawa alisaidia elimu akhera.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…