Wale wahuni waliomuua Ghadaff nawalaani kila ninapopita na kuona kazi aliyofanya

Wale wahuni waliomuua Ghadaff nawalaani kila ninapopita na kuona kazi aliyofanya

Muamar Ghaddaf alitusaidia sana kujenga Misikiti. Ukipita barabara ya kwenda Mwnza unakuta kiia baada ya kms kadhaa pembezoni mwa barabara kuna Msikiti.

Ukienda Tanga vivyo hivyo, ukienda Ntwara, ukienda Mbeya, Rukwa...

Kiukweli jamaa alikuwa jembe sana. Na pale Dodoma alitujengea Msikiti Mkuuuubwa kabisa. Kiukweli Ghaddaf alikuwa jembe sana. Alitusaidia sana kupata elimu. Sioni kama kuna mtu mwingine ambaye ameendeleza hili jambo.

Naombea aje kiongozi mwingine shupavu atujengee Misikiti mingi zaidi. Na wale waliomuua Jembe wakifika Akhera wasipate kitu. Wahasiwe kabisa washenzi wale.
Ila umesahau kuwa wakati wa vita ya Tanzania na Nduli Idd Amin Dada alimsaidia Nduli kupigana vita na Tanzania, au unaona hilo kwako halina uzito maisha na mali za Watanzania unaona si mali kitu ukilinganisha na ulivyotaja.

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Hii mitanzania myweusi? Haina unafanya mchezo na rangi ya mtume.....
Ila umesahau kuwa wakati wa vita ya Tanzania na Nduli Idd Amin Dada alimsaidia Nduli kupigana vita na Tanzania, au unaona hilo kwako halina uzito maisha na mali za Watanzania unaona si mali kitu ukilinganisha na ulivyotaja.

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Muamar Ghaddaf alitusaidia sana kujenga Misikiti. Ukipita barabara ya kwenda Mwnza unakuta kiia baada ya kms kadhaa pembezoni mwa barabara kuna Msikiti.

Ukienda Tanga vivyo hivyo, ukienda Ntwara, ukienda Mbeya, Rukwa...

Kiukweli jamaa alikuwa jembe sana. Na pale Dodoma alitujengea Msikiti Mkuuuubwa kabisa. Kiukweli Ghaddaf alikuwa jembe sana. Alitusaidia sana kupata elimu. Sioni kama kuna mtu mwingine ambaye ameendeleza hili jambo.

Naombea aje kiongozi mwingine shupavu atujengee Misikiti mingi zaidi. Na wale waliomuua Jembe wakifika Akhera wasipate kitu. Wahasiwe kabisa washenzi wale.

Takbiiiiir
 
Muamar Ghaddaf alitusaidia sana kujenga Misikiti. Ukipita barabara ya kwenda Mwnza unakuta kiia baada ya kms kadhaa pembezoni mwa barabara kuna Msikiti.

Ukienda Tanga vivyo hivyo, ukienda Ntwara, ukienda Mbeya, Rukwa...

Kiukweli jamaa alikuwa jembe sana. Na pale Dodoma alitujengea Msikiti Mkuuuubwa kabisa. Kiukweli Ghaddaf alikuwa jembe sana. Alitusaidia sana kupata elimu. Sioni kama kuna mtu mwingine ambaye ameendeleza hili jambo.

Naombea aje kiongozi mwingine shupavu atujengee Misikiti mingi zaidi. Na wale waliomuua Jembe wakifika Akhera wasipate kitu. Wahasiwe kabisa washenzi wale.

IMG_4801.jpg

IMG_4789.jpg

kweli wanawake wanavumilia mengi kuwa na mwanaume wa hivi?
 
Muamar Ghaddaf alitusaidia sana kujenga Misikiti. Ukipita barabara ya kwenda Mwnza unakuta kiia baada ya kms kadhaa pembezoni mwa barabara kuna Msikiti.

Ukienda Tanga vivyo hivyo, ukienda Ntwara, ukienda Mbeya, Rukwa...

Kiukweli jamaa alikuwa jembe sana. Na pale Dodoma alitujengea Msikiti Mkuuuubwa kabisa. Kiukweli Ghaddaf alikuwa jembe sana. Alitusaidia sana kupata elimu. Sioni kama kuna mtu mwingine ambaye ameendeleza hili jambo.

Naombea aje kiongozi mwingine shupavu atujengee Misikiti mingi zaidi. Na wale waliomuua Jembe wakifika Akhera wasipate kitu. Wahasiwe kabisa washenzi wale.
Ndo maana dini yenu wengi hawana elimu sasa badala kujenga shule za kiislamu mfano au vyuo vikuu ww unafurahi msikitin ...uliwahi ona vatican wanajenga kanisa bila shule au hospital.....

Elimu dunia na elimu ahela zote muhimu nyie shida mnawaza elimu ahela ndo maana pwani umasikin na shule hakuna

Hiyo dini wasio na elimu ni wengi sababu hiyo
 
Back
Top Bottom