Wale waishio mikoa ya nyanda za juu kusini, tufahamiane hapa

Mbalali, Rujewa, ubaruku,mhanga,mwaganga,lugelele,igomelo,Igawa,duuuhh nimekaa kama miezi 3 nilifurahia maisha ya wilaya ya mbalali. Kwa Msangu pale kuna nyama za hatari kuanzia buku tuu na ndizi choma asubuhi tayari.Siyo mkazi wa huko lakini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…