LUBEDE
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 4,320
- 6,686
Forest karibu na Shule ya Sekondari Meta..Mbalizi RD
hilo ndio eneo linaloongoza kuwa na makanisa mengi kuliko sehemu yeyote duniani..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Forest karibu na Shule ya Sekondari Meta..Mbalizi RD
Hivi namba one na Ntokela zinapakana? haya maeneo huwa yananichanganya sana, unapo tokea Uyole ndio unaanza na Namba one?
Nataka usipa aiseeKyela ikombe mwendo wa kula samaki tu
Niko mitaa ya Mbilinyi hapaMbeya City Sae hapa
Nitakupitia, natoka Jeshini hapa MbaliziMtakuja, karibu na mbalizi sec
Msalimie Mwakabanga, yule mburushi anataka ubungeRujewa mbarali
Siyo njiapanda Itende?Tunyande hapa
Niko madukani hapaSIMIKE nearby META HOSPITAL,but muda mwingi nipo KIWIRA kikazi! tutafutane ili tufahamiane kwa wakazi wa nyanda za juu kusini!
Mitaa ya Hospital ya MkoaForest mpya
Nzansiku welaa??Mwakata wuli mwe wantu wakwe Lesa?
Niko madukani hapa
hilo ndio eneo linaloongoza kuwa na makanisa mengi kuliko sehemu yeyote duniani..
Mbeya siyo nzima aisee...... Karibuwe upo Mbeya nzima?
Huyu kama siyo Nsalaga basi IteziMh,we utakuwa mwenyeji Wa pembezoni mwa mji Uyole au Igawilo huijui Mbeya vizur!kweli Meta na Forest na mbalizi road ndo kuna makanisa meengi?!!truly you ar a stranger here in town!
Ichete, wali uli pang'anda?Nzansiku welaa??
Eiyaa mkwai.Salama kalesa
Nkwiza tuswele mkombeNipo kibaoni kisiwani, tutenzi kalesa