Wale waliosema Bandari imeuzwa tubuni mapema dhambi zenu Mkataba wenu feki unawaumbia Mchana kweupe Samia hadi 2030

Wale waliosema Bandari imeuzwa tubuni mapema dhambi zenu Mkataba wenu feki unawaumbia Mchana kweupe Samia hadi 2030

Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) imealika kampuni kutuma zabuni kwa ajili ya kusimamia kituo cha makontena (Container Terminal II) kinachohusisha gati namba 8 hadi 11 katika Bandari ya Dar es Salaam, Hii ni eneo ambalo hapo awali lilisimamiwa na kampuni binafsi ya kimataifa ya kuhudumia makontena Tanzania (TICTS) kwa miaka 22, kampuni inayomilikiwa kwa kiasi kikubwa na Hutchison Ports ya Hong Kong.

Tanzania pia kwa sasa inaendeleza mazungumzo na DP World, kampuni kubwa ya huduma za bandari ya Dubai, ili kusimamia gati namba 1 hadi hadi 7 katika bandari hiyo. Tanzania inaboresha miundombinu kwenye Bandari ya Dar es Salaam ili kuongeza ufanisi utakaoiwezesha kushindana na bandari nyingine, ikiwemo bandari ya Mombasa nchini Kenya. Kama sehemu ya mipango ya Tanzania, DP World itasimamia magati 1-7, huku mwendeshaji mwingine wa kimataifa wa bandari akiendesha gati namba 8-11 kwa lengo la kuleta ufanisi wa hali ya juu.
Haya wale wapambe Mkataba mliuona au mlilishwa tango pori?
Umeenda kunukuu alichoandika kitenge ukasahau sehemu hii
Screenshot_20230901-104441.jpg

Labda nikukumbushe tu mchakato wa DP world umesimama ili kupisha mazungumzo ya pande zote mbili hasa baada ya kutokea yaliyotokea Kwa kipindi Cha miezi miwili iliyopita.
1. SERIKALI ilikua na dhamira ya kubadilisha Sheria mbili (Sheria ya Maliasili na Ile ya mikataba ya uwekezaji) zilizotungwa wakati wa Jiwe ambazo zilikua ni kikwazo Kwa mkataba wa DP world. Muswada huo ulisomwa Kwa mara ya kwanza mwezi juni na ulipaswa kuridhiwa na bunge katika vikao vilivyoanza hivi karibuni. Baada ya changamoto zilizojigokeza bunge limekataa kupokea mapendekezo ya mabadiliko ya Sheria hiyo kupitia Kamati ya bunge ya Kamati ya Sheria na katiba, mpaka itakavyoletwa vinginevyo. Hii Ina maana kwamba utekelezaji wa makubaliano IGA hayana uhalali wa kisheria kuanza kutekelezwa Kwa maana ya mikataba mahususi

2. Mheshimiwa speaker hivi majuzi amewataka wabunge kutokurejea mjadala ambao tayari wao wameshaupitisha na badala yake waendelee kupokea na maoni kutoka Kwa wananchi, ili Serikali itakapolileta swala Hilo Kwa namna nyingine wapate nafasi ya kulijadili Kwa maana ya kuishauri na kuismimamia Serikali kwani wabunge ni wawakilishi wa wananchi.
3. Kwa muktadha huo Bado TPA yupo huru kutangaza tenda ya uendeshaji wa Bandari zake mpaka itakavyotajwa vinginevyo! Kilichotokea ni kwamba Hilo eneo la bandari haliwezu kuwa idle baada ya kuondoka TICTS.
PUNGUZA UJUHA
 
Hii ndio JF ya siku hizi sasa,comments zinamshambulia mleta mada "Personal attack" badala ya kuishambulia mada husika!
Ukiona watu hawajadili mada wanamshambulia mtoa mada yamkini mada aliyotoa ni ya kijinga, na maana hiyo imetoka kwenye kichwa Cha mjinga ambaye ni mtoa mada, hivyo mtoa mada ni mjinga ikiwa ubongo ulioko katika kichwa chake una kazi ya kuprocess information zote za mwili!
Kinachofanyika hapo ni kureset akili yake aache kuwa mjinga kwanza na atoe mada ambazo zinajadilika
 
We shetani wako jpm mfuate alipo, usituchefue hapa hana uzalendo muuaii na mbaguzi yule mfu wenu. Eti mzalendo we unajua maana ya uzalendo
Lazima umchukie maana mlizoea kupandisha twiga mwenye ndege, 👉kusaini mikataba ya kuuza mgodi wa buzwagi kwa zaidi ya miaka 100
👉Kualikana Kwenye vikao vya hovyo, na kupeana posho zisizi na msingi
 
Ukiona watu hawajadili mada wanamshambulia mtoa mada yamkini mada aliyotoa ni ya kijinga, na maana hiyo imetoka kwenye kichwa Cha mjinga ambaye ni mtoa mada, hivyo mtoa mada ni mjinga ikiwa ubongo ulioko katika kichwa chake una kazi ya kuprocess information zote za mwili!
Kinachofanyika hapo ni kureset akili yake aache kuwa mjinga kwanza na atoe mada ambazo zinajadilika
Kwani ukiona mada haijadiliki na wewe au inahusu kitu ambacho wewe hukutaka kukisikia si unaachana nayo tu na kwenda kwenye thd zingine?
 
YAANI HUMU INAONEKANA WENGI WANABURUZWA HATA MKATABA HAWAUJUI NDIOYO MAANA WENGI WANATUKANA MNAVYOELEWESHWA KAMA HUJUI KAA KIMYA
 
Kwani ukiona mada haijadiliki na wewe au inahusu kitu ambacho wewe hukutaka kukisikia si unaachana nayo tu na kwenda kwenye thd zingine?
Brother hakuna jambo lisilojadilika chini ya jua! Kisichojadilika ni Mungu tu!
Swala la kuachana nayo ni utashi wa mtu peke yake! Na inategemea mtu ameliona jambo Kwa angle Gani, wrong or right! Kwahiyo unapotoa mada tegema mambo matatu, kujadiliwa Kwa mtazamo chanya, kujadiliwa Kwa mtazamo hasi au ukajadiliwa wewe mwenyewe!
Ukiyafahamu haya Wala hutoweweseka au kuteseka
 
YAANI HUMU INAONEKANA WENGI WANABURUZWA HATA MKATABA HAWAUJUI NDIOYO MAANA WENGI WANATUKANA MNAVYOELEWESHWA KAMA HUJUI KAA KIMYA
Hakuna mtu mwenye authority ya kusema anamwelesha mtu. Nadhani ungesema pale watu wanavyojadili tofauti na matakwa au matarajio yao! Hii ndio maana ya kuwa great thinker! Mtu anaposhundwa kufikiri hukimbilia matusi! Mtu anapodhani anajua zaidi hukimbilia Ile lugha "upotoshaji" mambo ya maandishi yanajieleza yenyewe hayahitaji kueleweshwa hasa Kwa mtu ambaye ni Msomi Kwa kiwango Cha kujiunga JF, Labda huko Sitimbi watahitaji kueleweshwa Kwa namna ya kuwasaidia kuelewa au kudangnywa vile vile
 
YAANI HUMU INAONEKANA WENGI WANABURUZWA HATA MKATABA HAWAUJUI NDIOYO MAANA WENGI WANATUKANA MNAVYOELEWESHWA KAMA HUJUI KAA KIMYA
Na ndio hao wengi wao wanaishia tu kumtukana mleta mada wala hawataki kusikia kitu kingine zaidi ya kile ambacho wamesha mezeshwa ukichanganya na roho zao mbaya na chuki.
 
Hayo magati mbona tayari kuna kampuni mpya tangu tics alivyoachia? Au ndio yale mambo ya kutangaziwa nafasi za ajira kumbe watu wameshachaguliwa ?
 
Wazazi wako wamepata hasara kubwa kuwa na mtoto kama wewe
 
Hiyo tenda ya kumpa DP world gati namba 1-7 ilitangazwa wapi na lini? hiyo takataka yenu mnayoita IGA mmeshafungia vitumbua au bado mnaendelea kujifariji nayo!
 
Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) imealika kampuni kutuma zabuni kwa ajili ya kusimamia kituo cha makontena (Container Terminal II) kinachohusisha gati namba 8 hadi 11 katika Bandari ya Dar es Salaam, Hii ni eneo ambalo hapo awali lilisimamiwa na kampuni binafsi ya kimataifa ya kuhudumia makontena Tanzania (TICTS) kwa miaka 22, kampuni inayomilikiwa kwa kiasi kikubwa na Hutchison Ports ya Hong Kong.

Tanzania pia kwa sasa inaendeleza mazungumzo na DP World, kampuni kubwa ya huduma za bandari ya Dubai, ili kusimamia gati namba 1 hadi hadi 7 katika bandari hiyo. Tanzania inaboresha miundombinu kwenye Bandari ya Dar es Salaam ili kuongeza ufanisi utakaoiwezesha kushindana na bandari nyingine, ikiwemo bandari ya Mombasa nchini Kenya. Kama sehemu ya mipango ya Tanzania, DP World itasimamia magati 1-7, huku mwendeshaji mwingine wa kimataifa wa bandari akiendesha gati namba 8-11 kwa lengo la kuleta ufanisi wa hali ya juu.
Haya wale wapambe Mkataba mliuona au mlilishwa tango pori?
Anza toba mwenyewe kwa kuendelea kujaribu kutuhadaa😂
 
SIKU HIZI WATU WANATEGEMEA KUSIKILIZA YALE WANAYOPENDA KUSIKIA NA HAWATAKI KUJADILI HOJA,MATUSI KOSA LANGU NI KU SHARE UKWELI WA HALI HALISI ILIYOPO UNATUKANWA NA KEYBOARD WARRIORS JIFUNZENI KUPOKEA TAARIFA ZOTE - NA + KWAKO NA PIA TUJIFUNZE KUSOMA NA KUELEWA NENO KWA NENO MBONA MNAJIITA GREAT THINKERS NA HAMTAKI KUSOMA MSTARI KWA MSTARI WHY?

LA MWISHO KABISA:

"Mtaniuliza vipi kuhusu Sukuma gang kurudi ulingoni, hilo nahitaji niwaambie tu ukweli kuna CCM asilia na CCM wajaji sasa asaivi chama kiko kwa Asilia na hawatarudia tena lile kosa la 2015 labda itokee dhoruba itakayoondoa kizazi chote hiki, Gang hawaji kuinuka tena habadani.

Mshauri wa masuala ya ndani sana."

Kuna siku mtanielewa tu.
 
Back
Top Bottom