hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
hahaaaaUshawishi wa Shetani umefikia mwisho, udomo zege wako ni 1st grade
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaaaaUshawishi wa Shetani umefikia mwisho, udomo zege wako ni 1st grade
Aiseee hahahaAuanaume au ufala huu?
Kweli mkuu unakuta huyo bi dada alienda kunywa sumuHakuna kitu mwanamke anajisikia VIBAYA KAMA ULALE NAE HALAFU umpuuze,,,anajiuliza maswali mengi yasiyo na majibu...tena mnalala kwa Mara ya kwnz...
Mbona kama alikuwa anatamani ila alikosa pakuanzia?Dhambi always huchangiwa na tamaa ya mtu.....
Hukuendekeza tamaa mkuu..hongera sanaa kaka
hahaaa kweli aiseeChama cha wanaume viongozi mtumbueni huyu jamaa si kwa uzembe huu[emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe unakwenda kuwa storyLakin ataelewa ni muugwana sna , na sina sexual minded
Kwanza kabisa sijawahi pata safarini seat moja na bimdada yeyote yule sijui mkosi!.hahaa waoge wapi... kwanza angeoga nae sindio angemkula....daaahh unaachaje demu hivi hivi...." Aiseee wenyekiti hii ni haki kweli hii... Castr .. Ambiele Kiviele " Wick
Sio Inna kweli?huo ndo U Getleman sasa, haijawah nitokea ila kdg tu itokee pale msavu, demu wakat anasagula mzee manguo yanatoa vumbi na alikua amevaa lichupi kubwa halaf jeusi tiii, yaan kaniki si kaniki pazia si pazia, nilipga chafya kama 11 hv bila kupumzika, Nilichomoka usiku huohuo nikaenda kulala na wapga debe, Yule nahc alikua mganga wa kienyej angenigeuza kuku yule mdada asee
hahaaa "" Hii itakuwa chai" kashata mkuuKwanza kabisa sijawahi pata safarini seat moja na bimdada yeyote yule sijui mkosi!.
Mengine kwakweli nimechukia alivyoleta ila labda niulize hivi upo na mwanamke ambae huna hisia nae mpaka saa 4 asubuhi mnajadili nini humo ndani!?.. Sawa usiku yawezekana mlichoka na safari which kwa mwanaume ni dhambi kubwa lakini mpaka saa 12 imekukuta bado tu upo nae haya hayo masaa 4 mengine bado tu mnaangaliana!?..
Pumbavu sana!.
Sijawahi mimi babe naanzaje
Huyo dada hakuchukua hata namba yako kweli? Ameondoka na maswali mengi sana, hujatuaibisha wanaume maana siku zote tunaonekana wakware.Habar zenu wakuu , natumai mko poa
Daah aisee ni hivi kweli mda mwengine shetani anazidiwa
Juzi wakat nipo safarin hivi mkoa flani tulifika late night stand so kwa sisi ambao hatuna wenyeji ilitubidi tu tuchkue gest ili asubuh tuendelee na safar zengine
Basi wakat tunaolizia wenyeji gest kuna mdada mmoja ambaye tangia safari inaanza hadi tumefika hatukubahatika hata kupeana salamu
Wakat tunaulizia gest iliyopo karibu bas mdada na yye akasogea tukawa wote
Jamaa katuelekeza hotel badala ya gest so kwa vile ni late night na tulikua na mizigo hatukua na jinsi ilibidi tu lazima tuchukue room hapo hpo hotel
Wakat nataka kulipia room mdada wa watu akanishauri tu share tu room ili kupunguza bajet maana cost ya hio room ya hotel hatukua tumeitarajia
Basi mwanaume sikufanya hiana nikamkubalia tuka share room
Aiseee siamini jinsi huu ubarid wa kipind hiki kma nimetoka asubh bila hata ya kumlazimisha sister anigaiye papuch angalau tu tupunguziane baridi
Nimekaa na demu hadi saa nne asubuh room bila hata kumshika mkono
Kweli sometimes shetani anakua hana nguvu
Hivi ingekua ni wewe je ungemuacha bila hata ya kuomba liwazo wakat upo full equiped ????
hahaaaa ..kwakweli " wanatuangusha mnooo" haswaaa ..halafu wanajificha kwenye kivuli cha u- gentleman " u- gentle " hauko hivyo " aiseeeKutembea na condom kwenye wallet sio dhambi, dhambi mke/GF kuiona bana!..
Kuna baadhi ya wawakilishi wetu wanatuangusha, heri ya Castr anawakunja hata vyoo vya dreamliner!.
We ni mwanaume wa Dar?Habar zenu wakuu , natumai mko poa
Daah aisee ni hivi kweli mda mwengine shetani anazidiwa
Juzi wakat nipo safarin hivi mkoa flani tulifika late night stand so kwa sisi ambao hatuna wenyeji ilitubidi tu tuchkue gest ili asubuh tuendelee na safar zengine
Basi wakat tunaolizia wenyeji gest kuna mdada mmoja ambaye tangia safari inaanza hadi tumefika hatukubahatika hata kupeana salamu
Wakat tunaulizia gest iliyopo karibu bas mdada na yye akasogea tukawa wote
Jamaa katuelekeza hotel badala ya gest so kwa vile ni late night na tulikua na mizigo hatukua na jinsi ilibidi tu lazima tuchukue room hapo hpo hotel
Wakat nataka kulipia room mdada wa watu akanishauri tu share tu room ili kupunguza bajet maana cost ya hio room ya hotel hatukua tumeitarajia
Basi mwanaume sikufanya hiana nikamkubalia tuka share room
Aiseee siamini jinsi huu ubarid wa kipind hiki kma nimetoka asubh bila hata ya kumlazimisha sister anigaiye papuch angalau tu tupunguziane baridi
Nimekaa na demu hadi saa nne asubuh room bila hata kumshika mkono
Kweli sometimes shetani anakua hana nguvu
Hivi ingekua ni wewe je ungemuacha bila hata ya kuomba liwazo wakat upo full equiped ????
...wa Dar.!Huo ndio uanaume