1-Fahamu kwamba ndo unaingia miaka 30. (ni mingi mno)
2-Hakikisha una mtoto
(kuoa sio muhimu ila hakisha una mtoto)
3- Kama umesoma huna ajira anza kusaka ajira rasmi
4-Bana matumizi, punguza matumizi ya social media ,pombe sigara
5-Stop kukumbizana na wanawake .
6-Jifunze kuvaa vizuri ,sio kila siku wewe ni vikaptula/vibukta na jezi.
2-Hakikisha una mtoto
(kuoa sio muhimu ila hakisha una mtoto)
3- Kama umesoma huna ajira anza kusaka ajira rasmi
4-Bana matumizi, punguza matumizi ya social media ,pombe sigara
5-Stop kukumbizana na wanawake .
6-Jifunze kuvaa vizuri ,sio kila siku wewe ni vikaptula/vibukta na jezi.