Wale Wanasimba SC na wana Yanga SC mliokuwa 'mkinishambulia' JF nilipokuwa 'nikimsifia' Kibu Denis kuwa ni Hazina Kubwa mpo wapi leo?

Wacha wewe! Big Boss Popoma katika ubora wake!!
 
Kwa mabeki wenye akili umekosea kumweka Nondo Mwamnyeto
 
Amepewa zawadi huko Dubai ya mchezaji bora wa siku
 
Nina wasi wasi na Jicho la mleta uzi isije kuwa anaona kwa jicho pendwa la wahuni mjini.
 
Kibu ni mchezaji mbovu, narudia tena Kibu ni mchezaji wa hovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…