Wale wapenda mabasi ya mikoani (wanazi) tukutane hapa

Wale wapenda mabasi ya mikoani (wanazi) tukutane hapa

Huwezi kukuta tajiri anafanya hii michezo tafuteni hela watoto wenu wasije kuwa wanazi kama nyie

Dar to Mbeya
Dar to kigoma
Dar to Arusha
Dar to Katavi
Dar To mwanza
ATCL wanakufikisha bila tatizo
Dar to Bukoba
Dar to kahama
Dar to Arusha
Dar to Zanzibar
Precision/ Jambo jet unafika kwa uzuri kabisa
 
Nazunguka nchi nzima kwa Basi na hivi ndio hua nafanya.
Dar to Mwanza nawaamini katarama
Dar to kigoma nawaamini Adventure
Dar to Tanga nawaamini Ratco
Dar to Moshi nawaamini kilimanjaro express
Dar to Morogoro nawaamini Abood
Dar to Dodoma nawaamini Shabiby
Dar to Songea nawaamini Superfeo au selou
Dar to Bukoba nawaamini Abood na Happination
Dar to Singida nawaamini ABC safari
Dar to Iringa nawaamini Alsaedy
Dar to Masasi nawaamini Ibra Line
Dar to Mtwara nawaamini Manning Nice
Dodoma To Bukoba nawaamini SATCO
Mwanza to Silari nawaamini Kisire au Zakaria
Mwanza To Bukoba nawaamini Isamilo
Dar to Katoro nawaamini Geita express au Takbiri
Dar to Kasulu nawaamini Takbiri
Dar to Kahama nawaamini Frester
Mwanza to Kahama nawaamini Frester
Dar to Newala nawaamini Ibra
mkuu Ibra Line unazungmzia mwaka gan? labda Ibra Express anabamba hadi sasa newala japo yupo hoi sana
 
mkuu Ibra Line unazungmzia mwaka gan? labda Ibra Express anabamba hadi sasa newala japo yupo hoi sana

Enzi tunajenga daraja la mtambaswala, na enzi ya kuvuka kwenda msumbiji kuiba dhahabu, mbao pori na pembe za ndovu na kutorosha korosho ya msumbiji kuingiza Tanzania kimagendo kwa bei ndogo
 
Kampuni yangu pendwa ni Allys Sport Bus ambayo kwasasa inaitwa Ally Star Bus [emoji93] au unaweza iita (Chungwa [emoji521]). Hii kampuni inajali sana muda. Yaani hawana gari mzaha hata moja, zote ni [emoji91].

Je, wewe kampuni unayoipenda ni kampuni gani?

NB: Wale mnaowaza ajali huu uzi hauwahusu.
Katarama ni noma
 
Nazunguka nchi nzima kwa Basi na hivi ndio hua nafanya.
Dar to Mwanza nawaamini katarama
Dar to kigoma nawaamini Adventure
Dar to Tanga nawaamini Ratco
Dar to Moshi nawaamini kilimanjaro express
Dar to Morogoro nawaamini Abood
Dar to Dodoma nawaamini Shabiby
Dar to Songea nawaamini Superfeo au selou
Dar to Bukoba nawaamini Abood na Happination
Dar to Singida nawaamini ABC safari
Dar to Iringa nawaamini Alsaedy
Dar to Masasi nawaamini Ibra Line
Dar to Mtwara nawaamini Manning Nice
Dodoma To Bukoba nawaamini SATCO
Mwanza to Silari nawaamini Kisire au Zakaria
Mwanza To Bukoba nawaamini Isamilo
Dar to Katoro nawaamini Geita express au Takbiri
Dar to Kasulu nawaamini Takbiri
Dar to Kahama nawaamini Frester
Mwanza to Kahama nawaamini Frester
Kahama to musoma nawaamini kisire
Dar To Tabora nawaamini NBC
Dar to Newala nawaamini Ibra
Uko njema, Dar Mbeya vipi?
Mi Dar to Tbr team Kisbo.
 
[emoji3][emoji3][emoji3] hatari tulikotoka ni mbali

IMG_1264.jpg

Hii iliitwa kichwa cha Ng’ombe trans
 
Siku hizi mnalala njiani siku moja mnapiga simu hadi kwa Rais wakati kutoka kibaha hadi mnazi mmoja ilikua masaa 4 hadi matano yaani na wakati wa kurudi unakosa usafiri
 
Back
Top Bottom