Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chai maharage Unguja moja hiyo.View attachment 2543069
Mkumbuke hizo zilikuepo
Chai maharage Unguja moja hiyo.
UmetishaNazunguka nchi nzima kwa Basi na hivi ndio hua nafanya.
Dar to Mwanza nawaamini katarama
Dar to kigoma nawaamini Adventure
Dar to Tanga nawaamini Ratco
Dar to Moshi nawaamini kilimanjaro express
Dar to Morogoro nawaamini Abood
Dar to Dodoma nawaamini Shabiby
Dar to Songea nawaamini Superfeo au selou
Dar to Bukoba nawaamini Abood na Happination
Dar to Singida nawaamini ABC safari
Dar to Iringa nawaamini Alsaedy
Dar to Masasi nawaamini Ibra Line
Dar to Mtwara nawaamini Manning Nice
Dodoma To Bukoba nawaamini SATCO
Mwanza to Silari nawaamini Kisire au Zakaria
Mwanza To Bukoba nawaamini Isamilo
Dar to Katoro nawaamini Geita express au Takbiri
Dar to Kasulu nawaamini Takbiri
Dar to Kahama nawaamini Frester
Mwanza to Kahama nawaamini Frester
Kahama to musoma nawaamini kisire
Dar To Tabora nawaamini NBC
Dar to Newala nawaamini Ibra
Umetisha
Hv mghamba bado wapo Mwanza Arusha
Hii imehusu MakunduchiView attachment 2543069
Mkumbuke hizo zilikuepo
Una hela sasa ww ? Mimi na maisha yangu kijana hayahusiani na mambo ya ma BUS ila napenda tu hizi mambo kama ww unavopenda labda muziki au ngonoHuwezi kukuta tajiri anafanya hii michezo tafuteni hela watoto wenu wasije kuwa wanazi kama nyie
[emoji1787]
Ubena hapo kama unaelekea mwidu(Morogoro) ukiwa umetokea Dar.Sana sijui ni maeneo gani
Yes mkuu hii chuma wakati nchi Ina heshima na adabu, inakutoa pale kamata station at 06:00am,Tunduma around 17:00,ina cross border na by 19:00 inaanza kuitafuta Lusaka, ikiingia pale kapiri mposhi buses zote za zambia zinakua zimeshaashwa mbali sana,05:00am good morning Lusaka buses port, maisha yale tungeyaendeleza leo nchi yangu dot.com wasingelalama na viajira uchwara.
Team scaniaaa.Team Katarama gongeni like za kutosha sanaaa [emoji91]
Master lax wana mikwaraa[emoji23][emoji23][emoji23]Master Lax
Golden deer ya kwake ostaz Rama na Linyama
Mr white Sauli
Hivi unafikir unazi ni umasiki?[emoji23][emoji23][emoji23] unazi ni feeling. Watu wanamiliki. Haya mambo familia zao. Hutakaa uelewe hiyo feeling kwasababu si mnazi mkuuHuwezi kukuta tajiri anafanya hii michezo tafuteni hela watoto wenu wasije kuwa wanazi kama nyie
Umenidanganya japo na mimi ni mnazi ila niliamua kujidai wa kishuaHivi unafikir unazi ni umasiki?[emoji23][emoji23][emoji23] unazi ni feeling. Watu wanamiliki. Haya mambo familia zao. Hutakaa uelewe hiyo feeling kwasababu si mnazi mkuu
Hata kuku ana maisha yake huna hela weweUna hela sasa ww ? Mimi na maisha yangu kijana hayahusiani na mambo ya ma BUS ila napenda tu hizi mambo kama ww unavopenda labda muziki au ngono