Wale wapenda mabasi ya mikoani (wanazi) tukutane hapa

Wale wapenda mabasi ya mikoani (wanazi) tukutane hapa

Hivi unafikir unazi ni umasiki?[emoji23][emoji23][emoji23] unazi ni feeling. Watu wanamiliki. Haya mambo familia zao. Hutakaa uelewe hiyo feeling kwasababu si mnazi mkuu
Nimeshamjibu unazi ni kama vile yeye anavopenda ngono,pombe ila wengine hizi mambo za unazi wa ma Bus
 
Saibaba na majinjah nazo zina watu wake wajipigie makaofi
Dar-Kahama-Ushirombo-Runzewe- Bwanga-Katoro-Geita hapo kuna Mallessa's wako vizuri.

Hailali njiani. Saa 7 inakuwa ishatoboa Geita kutoka Dar.
 
Enzi tunajenga daraja la mtambaswala, na enzi ya kuvuka kwenda msumbiji kuiba dhahabu, mbao pori na pembe za ndovu na kutorosha korosho ya msumbiji kuingiza Tanzania kimagendo kwa bei ndogo
Duh! hzo mishe sio mchezo mkuu
 
Yes mkuu hii chuma wakati nchi Ina heshima na adabu, inakutoa pale kamata station at 06:00am,Tunduma around 17:00,ina cross border na by 19:00 inaanza kuitafuta Lusaka, ikiingia pale kapiri mposhi buses zote za zambia zinakua zimeshaashwa mbali sana,05:00am good morning Lusaka buses port, maisha yale tungeyaendeleza leo nchi yangu dot.com wasingelalama na viajira uchwara.

Mkifika Ndola pale petrol station kwa wasomali mnaelezwa kabisa mfunge chakula,
 
Nakonde to Lusaka nawaamini Power Tools
Lusaka to Harare nawaamini Mazhandu
Harare to South nawaamini Tamuka au munenzwa
Kampala to Beni congo nawaamini Link
Beni To Kisangani nawaamini Nangolu
Kigali To juba nawaamini Trinity
Goma to kigali nawaamini volcano au virunga
Lusaka to Dar nawaamini Royal
Mbeya to Dar nawaamini Sauli au Happination
Tunduma to Dar nawaamini Golden Deer au Newforce
Dar to Sumbawanga nawaamini Newforce
Dar to Mpanda nawaamini Happination na Abood
Dar to Lubumbashi nawaamini Classic
Kisangani to Butembo nawaamini classic
Aisee uko vizuri
 
Nazunguka nchi nzima kwa Basi na hivi ndio hua nafanya.
Dar to Mwanza nawaamini katarama
Dar to kigoma nawaamini Adventure
Dar to Tanga nawaamini Ratco
Dar to Moshi nawaamini kilimanjaro express
Dar to Morogoro nawaamini Abood
Dar to Dodoma nawaamini Shabiby
Dar to Songea nawaamini Superfeo au selou
Dar to Bukoba nawaamini Abood na Happination
Dar to Singida nawaamini ABC safari
Dar to Iringa nawaamini Alsaedy
Dar to Masasi nawaamini Ibra Line
Dar to Mtwara nawaamini Manning Nice
Dodoma To Bukoba nawaamini SATCO
Mwanza to Silari nawaamini Kisire au Zakaria
Mwanza To Bukoba nawaamini Isamilo
Dar to Katoro nawaamini Geita express au Takbiri
Dar to Kasulu nawaamini Takbiri
Dar to Kahama nawaamini Frester
Mwanza to Kahama nawaamini Frester
Kahama to musoma nawaamini kisire
Dar To Tabora nawaamini NBC
Dar to Newala nawaamini Ibra
Umemaliza Mkuu uzi ufungwe tu🤝
 
Ulikua ukisikia giriki baba tembea dude linapumua chalinze, mikumi mnafumba macho, mnafumbua macho comfort hapo mmemaliza kitonga, goti linanyooshwa saa 10 au 11 dude linapumulia Uyole
 
Mambo yakabadilika zikaja Scandnavia hapo unasafiri kiafisa kabisa, zikaja Zainabus, Zikaja fazil mawese, zikaja Sumry hapo kiswele zishatutoka kichwani, tunasafiri mnaangalia TV kama wadosi,
 
Hapo tumewaachia wasafiri wa Iringa to Makete wanatamba na Mwafrika zao za akina Mjomba,
Yeah Mwafrika nhe!ohoooo Kwacha nayo hii kampuni ilinyanyasa sana,bila kusahau Safina (Mr.Mahenge na driver wake Yosso)hii bus ilikua majembe sana, but ukweli Dar to Mbeya ni 800km only, surely ni mwendo wa saa 10tu kwa bus, ila barabara zetu bado na zile tutas ndio ukenge mkubwa
 
Back
Top Bottom