Mpanda hakuna abood nahis una kisia tu
Kaanzisha route Bukoba, ameshaanza, mwisho wa mwezi huu kigoma na mpanda wataanza kupata huduma kwenye uwanja wa mabasi usibishane na mimi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpanda hakuna abood nahis una kisia tu
Unajiona nani mpaka usiambiwe ukweli
Abood dar mpanda hakuna over swala ataleta baadaye mwezi ujao sijui hizo adithi ambapo sio hoja ya mtoa mada
Hakika, but isamilo ndio at least katika hizo ana afadhal kwenye huduma na quality za magari though hiyo root haina kampuni seriousMwanza To Mbeya pana Isamilo, premier na Fikoshi hao ndio huko wanapambana
Kwa KATARAMA vingunguti wenyewe wanamuomba Sana naskia jamaa yupo kwenye malori na nimeona scania na Mercedes Benz zikiwa na chata la KATARAMA hvyo huyu jamaa sio wa mchezo nafkiri Biashara ya bus huyu ataiweza Ila kwa upepo huu ukiendelea kuvuma mpaka shule zikifungwa nakwambia kabla ya December mwarabu na wadau kadhaa watakuwa washaingia vingunguti sio chini ya Mara 5Vingunguti hapaendeki kirahisi bro, 95 iliyotimia na viungo vyote, retarder ,2 pedal auto opticruise gearbox , si chini ya 800 millions
Yani zile gari mbili za Katarama unaweza kuta ndo gharama ya gari hizo 8 za allys.
Heshimu sana mtu anayenunua marcopollo 95 , ana hela!!!
mpe hsehima superfeo juzi kaongeza 6 mpya , mpe heshina katarama yeye ana 2 , sauli ana moja
Heshima zaidi apewe mwamba anaitwa Nacharo, yeye marcopolo 95 imetimia viungo vyote kaamua kuipeleka Dar Tanga , nauli 16000, Mwamba haionei huruma hela yake itarudi lini na wala hana habari!
Nakonde to Lusaka nawaamini Power Tools
Lusaka to Harare nawaamini Mazhandu
Harare to South nawaamini Tamuka au munenzwa
Kampala to Beni congo nawaamini Link
Beni To Kisangani nawaamini Nangolu
Kigali To juba nawaamini Trinity
Goma to kigali nawaamini volcano au virunga
Lusaka to Dar nawaamini Royal
Mbeya to Dar nawaamini Sauli au Happination
Tunduma to Dar nawaamini Golden Deer au Newforce
Dar to Sumbawanga nawaamini Newforce
Dar to Mpanda nawaamini Happination na Abood
Dar to Lubumbashi nawaamini Classic
Kisangani to Butembo nawaamini classic
Ninachokwambia ni kuwa vingunguti si kwa kila mtu!!Kwa KATARAMA vingunguti wenyewe wanamuomba Sana naskia jamaa yupo kwenye malori na nimeona scania na Mercedes Benz zikiwa na chata la KATARAMA hvyo huyu jamaa sio wa mchezo nafkiri Biashara ya bus huyu ataiweza Ila kwa upepo huu ukiendelea kuvuma mpaka shule zikifungwa nakwambia kabla ya December mwarabu na wadau kadhaa watakuwa washaingia vingunguti sio chini ya Mara 5
Ukizoea vya kunyonga kuchinja unaona ngumu Ila muda n mwalimu mzuri mwarabu lazime atafute mbili za kuzugia wafanyabiashara wa mwanza tena mie nataka aende malysia au Singapore achukue chuma kule aje asanue matajiri kuwa Kuna bus used pia alafu n tamu kuliko za vingungutiNinachokwambia ni kuwa vingunguti si kwa kila mtu!!
Mtu anayenunua marcopolo g7 scania , mpe heshima yake , naamini allys hawezi.
[emoji3][emoji1][emoji1][emoji1]juzi limekufa gairo ,nimefika Magufuli saa kumi na mbili nikapanda Shukrani gari Lina kunguni balaa[emoji3][emoji3][emoji1][emoji1]tumeondoka saa mbili kasoro Dar,Mshikamano wameondoka tatu usiku ila walituacha afu tukawakuta gairo wamekufaShabiby, kuna basi sitalisahau duh mshikamano investment hili gari [emoji1]
IlinipitaTeam Katarama gongeni like za kutosha sanaaa [emoji91]
Dar to Johannesburg ipo BubeleNakonde to Lusaka nawaamini Power Tools
Lusaka to Harare nawaamini Mazhandu
Harare to South nawaamini Tamuka au munenzwa
Kampala to Beni congo nawaamini Link
Beni To Kisangani nawaamini Nangolu
Kigali To juba nawaamini Trinity
Goma to kigali nawaamini volcano au virunga
Lusaka to Dar nawaamini Royal
Mbeya to Dar nawaamini Sauli au Happination
Tunduma to Dar nawaamini Golden Deer au Newforce
Dar to Sumbawanga nawaamini Newforce
Dar to Mpanda nawaamini Happination na Abood
Dar to Lubumbashi nawaamini Classic
Kisangani to Butembo nawaamini classic
Dar to BariadiShabiby, kuna basi sitalisahau duh mshikamano investment hili gari [emoji1]
AnabebaUmetisha
Hv mghamba bado wapo Mwanza Arusha
Wasabato waleAcha kucheka mkuu, ukiona unamuuliza konda tunafika saa ngapi, anakujibu kwanza tuombe mungu maana hivi ni vyuma vya mzungu kwahiyo Mungu ndio anajua itakuaje, kichwani ikuijie picha ya basi mfano kampuni ya Mbazi, Dar arusha ni mnatoka jijini saa 12 asubuhi arusha saa mbili usiku
MkuuYes mkuu hii chuma wakati nchi Ina heshima na adabu, inakutoa pale kamata station at 06:00am,Tunduma around 17:00,ina cross border na by 19:00 inaanza kuitafuta Lusaka, ikiingia pale kapiri mposhi buses zote za zambia zinakua zimeshaashwa mbali sana,05:00am good morning Lusaka buses port, maisha yale tungeyaendeleza leo nchi yangu dot.com wasingelalama na viajira uchwara.
Ndola?Mkifika Ndola pale petrol station kwa wasomali mnaelezwa kabisa mfunge chakula,
KataramaMgamba hayupo road marangu coach, mtei na masalu wamemkazia route ya Kahama mpaka geita na route ya mwanza kule hakuna kulaza damu Asante rabi anaweka chuma nne kwa route moja, loliondo chuma 2 kwa route moja sasa wanabaki kiazi Kitamu, kaprikon bado wa Moshi Kuna nyehunge, kisesa na isamilo naona pia kashindwa kupambana.
KATARAMA n habari nyingine kwasasa chuma 2 vs chuma 8 za kampuni moja bado happy nation, kisbo, frester, Kapricon, abood wote wanaomba poo kwa KATARAMA.
Biashara n mtaji kwa kweli na kuamini kwa kidogo ulichonacho.
Mwarabu hana muda ataenda pale vingunguti Mana hawez vumilia tabu anayopewa na msukuma mmoja
Alijaribu Mwanza to Rombo ikamshindaKapambana toka barabara ikiwa ya vumbi kaja kushindwa pazuri,hii biashara itakuwa ni ngumu mno ila ina pesa za haraka