Wale wapenda mabasi ya mikoani (wanazi) tukutane hapa

Wale wapenda mabasi ya mikoani (wanazi) tukutane hapa

Kwa KATARAMA vingunguti wenyewe wanamuomba Sana naskia jamaa yupo kwenye malori na nimeona scania na Mercedes Benz zikiwa na chata la KATARAMA hvyo huyu jamaa sio wa mchezo nafkiri Biashara ya bus huyu ataiweza Ila kwa upepo huu ukiendelea kuvuma mpaka shule zikifungwa nakwambia kabla ya December mwarabu na wadau kadhaa watakuwa washaingia vingunguti sio chini ya Mara 5
Huyo mwarabu

Kuna Lori la kuitwa mshikamano

Limemkalia kooni route ya Bariadi

Hapumui

Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
 
Wale waliowahi kusafiri na Kingcross Dodoma to Iringa kupitia mtera hivi wako wapi
Hapa hapa zile ndo mashine za kazi kazi kwanza lazima ubebe , viazi vya kuchemsha na maziwa mgando maana kufika ni majaliwa njia ile.
Ilaa mkitoboa mtera aah samaki bwelele wa kuchoma unabeba take away tu njiani popote mkikwama we una kitoweo.
Kuna Urafiki pia Leyland
 
Kwacha ilikua kiboko ile miscania mirefu km nyoka.
Tuko igawa ile Agiza chai na mayai na maandazi imekuja yamoto haswa puliza puliza hata sijamaliza chuma kinagonga honi nje tuondoke aah mi nasema ngoja nimwage kojo chooni foleni.
E bana natoka ngoma ileee inaanza kupepea nikaanza kula marathon.
Hizo kipindi usiongee abari ya boda hamna hata baskeli ni mikokoteni tu.
Zile mbio nilifyatua pale dere aliniona tu niko mbele yake napunga mkono akasimama.
Ndo nikazama mle ndani.
Sijui akili zao vp hawa madereva wa mikoani utaondoaje gari bila kuhakiki abiria wote wapo ndani?
Yaani unaona kabisa ile siti iko wazi ww huyo unatambaa.
Mwingine alileta mambo hayo juzi kati hapo msamvu aloo kidogo tuparangane.
Maana nashuka nimeaga kabisa lakini kaondoka.
Vitu kibao viko mle ndani aisee.
Safari ya bus sio adhabu ni leisure tu.
Mtu unaweza kupanda ndege, treni na ukaenda private ukitaka.
Ila sijui wanachukuliaje abiria
 
Ndola?

Ukielekea Lusaka?

Kutokea Kapiri?

Mbona hakuna uhusiano

Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Always unaposoma comments jitahidi usome to understood, hii ya Ndola ni typing error, mimi nilimwelewa ,alimaanisha pale kapiri mposhi kwenye ile fuel garage kwenye pacha ya kwenda Lusaka (left),na Ndola (right )ukitokea mkushi, ile hotel bado ipo ingawa kwa sasa imeboreshwa zaidi, nilikua nakuona upo very smart kumbe ni wale wale, upo stupid
 
Always unaposoma comments jitahidi usome to understood, hii ya Ndola ni typing error, mimi nilimwelewa ,alimaanisha pale kapiri mposhi kwenye ile fuel garage kwenye pacha ya kwenda Lusaka (left),na Ndola (right )ukitokea mkushi, ile hotel bado ipo ingawa kwa sasa imeboreshwa zaidi, nilikua nakuona upo very smart kumbe ni wale wale, upo stupid

Kumbe wewe ulielewa vizuri kabisa
 
Screenshot_20230220_200512.jpg
 
Kumbe wewe ulielewa vizuri kabisa
Yes mkuu all of us sometimes we make typing errors, ila unajua kuwa nini ulitaka kuandika na hii sio rocket science, comments za dot.com humu zimejaa kejeli mno, ndio maana hawawezi kuingia viwanja na wanalalama humu kuhusu viajira uchwara ,mimi angeniamkia kwa respect ni sawa ila kuweka emoji ya kucheka ,nimemwelewa maana yake, ni kejeli na hii kejeli ndio maana barabarani humu watanzania tunatupana maana tumejaa ushenzi, kaa mbali na mbongo hasa mkiwa nje ya nchi ni washenzi
 
Always unaposoma comments jitahidi usome to understood, hii ya Ndola ni typing error, mimi nilimwelewa ,alimaanisha pale kapiri mposhi kwenye ile fuel garage kwenye pacha ya kwenda Lusaka (left),na Ndola (right )ukitokea mkushi, ile hotel bado ipo ingawa kwa sasa imeboreshwa zaidi, nilikua nakuona upo very smart kumbe ni wale wale, upo stupid
Aisee

Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
 
Yes mkuu all of us sometimes we make typing errors, ila unajua kuwa nini ulitaka kuandika na hii sio rocket science, comments za dot.com humu zimejaa kejeli mno, ndio maana hawawezi kuingia viwanja na wanalalama humu kuhusu viajira uchwara ,mimi angeniamkia kwa respect ni sawa ila kuweka emoji ya kucheka ,nimemwelewa maana yake, ni kejeli na hii kejeli ndio maana barabarani humu watanzania tunatupana maana tumejaa ushenzi, kaa mbali na mbongo hasa mkiwa nje ya nchi ni washenzi
Duh[emoji848]

Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
 
Nazunguka nchi nzima kwa Basi na hivi ndio hua nafanya.
Dar to Mwanza nawaamini katarama
Dar to kigoma nawaamini Adventure
Dar to Tanga nawaamini Ratco
Dar to Moshi nawaamini kilimanjaro express
Dar to Morogoro nawaamini Abood
Dar to Dodoma nawaamini Shabiby
Dar to Songea nawaamini Superfeo au selou
Dar to Bukoba nawaamini Abood na Happination
Dar to Singida nawaamini ABC safari
Dar to Iringa nawaamini Alsaedy
Dar to Masasi nawaamini Ibra Line
Dar to Mtwara nawaamini Manning Nice
Dodoma To Bukoba nawaamini SATCO
Mwanza to Silari nawaamini Kisire au Zakaria
Mwanza To Bukoba nawaamini Isamilo
Dar to Katoro nawaamini Geita express au Takbiri
Dar to Kasulu nawaamini Takbiri
Dar to Kahama nawaamini Frester
Mwanza to Kahama nawaamini Frester
Kahama to musoma nawaamini kisire
Dar To Tabora nawaamini NBC
Dar to Newala nawaamini Ibra

Arusha - Mbeya?
Arusha - Mwanza?
Mbeya - Mwanza?
Moshi - Mwanza?
Dodoma - Musoma?
 
Back
Top Bottom