Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww nae tunachapwa wap leta mkeka wa jana
Lile gari sipandi kabisa mm tulisafiri toka dom had dsm siku nzima tangu saa 12 asubuhi yan kufika ihumwa tu limeharibika sina hamu.[emoji3][emoji1][emoji1][emoji1]juzi limekufa gairo ,nimefika Magufuli saa kumi na mbili nikapanda Shukrani gari Lina kunguni balaa[emoji3][emoji3][emoji1][emoji1]tumeondoka saa mbili kasoro Dar,Mshikamano wameondoka tatu usiku ila walituacha afu tukawakuta gairo wamekufa
Vimeo hvyoo vya kukesha njiani
Ile Shukrani inaenda kama tuko kwenye matembezi ya hisani vile
Yupo kahama tanga ingawa panamshindaUmetisha
Hv mghamba bado wapo Mwanza Arusha
Coast Region compound...looks so nice.
Hii ndinga niliwahi kuiona Arusha, nahisi inaendaga Mikoa ya Kanda ya ziwa.
Mghamba huduma mbovu na ma agent wamemmalizaKapambana toka barabara ikiwa ya vumbi kaja kushindwa pazuri,hii biashara itakuwa ni ngumu mno ila ina pesa za haraka
Sasa ndo waweke viti vya tata kwenye katarama??Vingunguti hapaendeki kirahisi bro, 95 iliyotimia na viungo vyote, retarder ,2 pedal auto opticruise gearbox , si chini ya 800 millions
Yani zile gari mbili za Katarama unaweza kuta ndo gharama ya gari hizo 8 za allys.
Heshimu sana mtu anayenunua marcopollo 95 , ana hela!!!
mpe hsehima superfeo juzi kaongeza 6 mpya , mpe heshina katarama yeye ana 2 , sauli ana moja
Heshima zaidi apewe mwamba anaitwa Nacharo, yeye marcopolo 95 imetimia viungo vyote kaamua kuipeleka Dar Tanga , nauli 16000, Mwamba haionei huruma hela yake itarudi lini na wala hana habari!
Basi ya used malaysia ije ifukuzane na scania g7? Si rahisi sumry alinunua mpya malasysia na hapa hazikufua dafu.Ukizoea vya kunyonga kuchinja unaona ngumu Ila muda n mwalimu mzuri mwarabu lazime atafute mbili za kuzugia wafanyabiashara wa mwanza tena mie nataka aende malysia au Singapore achukue chuma kule aje asanue matajiri kuwa Kuna bus used pia alafu n tamu kuliko za vingunguti
Mwanza hiyo..Tabora..kabla ya Torch hii ikikupita ndio basi.Hii ndinga niliwahi kuiona Arusha, nahisi inaendaga Mikoa ya Kanda ya ziwa.
Kiazi kitamu roli lile weka mbali na watoto.Kuna Ile AVA .. scania kizazi jeuri! Mwanza - Arusha.
YeahMpanda hakuna abood nahis una kisia tu
MUGHAMBABas gani la Arusha to mwanza jaman
Nna Safar ya huko hii week
NB lisiwe mkweche