Wale wapenda mabasi ya mikoani (wanazi) tukutane hapa

Wale wapenda mabasi ya mikoani (wanazi) tukutane hapa

Kampuni yangu pendwa ni Allys Sport Bus ambayo kwasasa inaitwa Ally Star Bus [emoji93] au unaweza iita (Chungwa [emoji521]). Hii kampuni inajali sana muda. Yaani hawana gari mzaha hata moja, zote ni [emoji91].

Je, wewe kampuni unayoipenda ni kampuni gani?

NB: Wale mnaowaza ajali huu uzi hauwahusu.
Sio kweli Ally's zile nyeupe hamna kazi pale ...ila zile zaa orange kazi ipo ata ile ya VVIP ni moto sanaa lkn yale meupe yale toa kabisaaa
 
Sio kweli Ally's zile nyeupe hamna kazi pale ...ila zile zaa orange kazi ipo ata ile ya VVIP ni moto sanaa lkn yale meupe yale toa kabisaaa
Zinaenda na muda zile nyeupe zinafika kwa wakati ila wao kama kampuni wameamua gari fulan za kukaa mbele tu, lengo la kampuni gari yao iwe mbele daima ndomana zinatangulizwa

EBF zile VVIP, zile DXS na zile DVA mda mwingine.

Ukiangalia mkeka gari zao zote zilitoka siku hiyo mara nyingi yanafatana
 
Zinaenda na muda zile nyeupe zinafika kwa wakati ila wao kama kampuni wameamua gari fulan za kukaa mbele tu, lengo la kampuni gari yao iwe mbele daima ndomana zinatangulizwa

EBF zile VVIP, zile DXS na zile DVA mda mwingine.

Ukiangalia mkeka gari zao zote zilitoka siku hiyo mara nyingi yanafatana
Mara ya mwisho naenda Kanda ha ziwa iyo nyeupe tuliipita Moro baada ya mizani ya dakawa, kufika Singida tukaitangiliza tena ilipofika igunda tuliipita misili ya mshale , DX ikawa mbele then DV ikafuata tulipofika Nzega tukaingia standa ila EB F ya VIP ika nyooka ..kufika Timde pale chuma.zote tatu 🌻🍊 zilikuwa line moja kufikia ishina Bulandi EBF akatangulizwa awahi then DV na DX zikaanza ligi sasa aisee ilikuwa moto siku ile
 
Jbst na juzi kati hapo nikiwa natoka ka.da ya ziwa DVA ilibonda noda boda mmoja.pale round about ...jamaa walituweka sanaa almost 1 hour
 
Nina swali kwa wanazi wale walioajiriwa kwenye hizi Bus ,mfano,wakata tickets nk,mishahara huwa kiasi gani ?
 
Geita - DSM - Geita

Mallessa
Mallessa
Mallessa
Mallessa

Boss katuheshimisha sana Geita,
Tulikuwa tuanapata taabu sana, hadi twende Mwanza[emoji2],

Siku hizi tunaanzia hapahapa Geita,

Mnazi kama Mnazi [emoji123]
 
Sauli dar Tunduma ndio bus Bora ya nyakati zote kuwahi kukanyaga kwenye ardhi ya Tz
 
Weee Shabiby ipi hiyoo?labda ABC
Ila Shabiby zinakimbia
Mimi huwa napanda shabiby za saa nne VIP royal Dsm - Dodoma mwendo wa kinyonga mara nyingi nafika dom saa mbili usiku area D pale masaa 10 njiani seriously?!
Sasa ikitokea kuna misafara ya viongozi ni balaa zaidi ila wako njema ile comfortability yake ni high class, ila BM & ABC ni watu wa mbio.
 
Dar to Njombe nawaamini Njombe express
Dar to makete nawaamini SweetAfrica
Njombe express [emoji3590][emoji3590]
20221217_185236.jpg
 
Dar - Songea
New Force
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
O
Nazunguka nchi nzima kwa Basi na hivi ndio hua nafanya.
Dar to Mwanza nawaamini katarama
Dar to kigoma nawaamini Adventure
Dar to Tanga nawaamini Ratco
Dar to Moshi nawaamini kilimanjaro express
Dar to Morogoro nawaamini Abood
Dar to Dodoma nawaamini Shabiby
Dar to Songea nawaamini Superfeo au selou
Dar to Bukoba nawaamini Abood na Happination
Dar to Singida nawaamini ABC safari
Dar to Iringa nawaamini Alsaedy
Dar to Masasi nawaamini Ibra Line
Dar to Mtwara nawaamini Manning Nice
Dodoma To Bukoba nawaamini SATCO
Mwanza to Silari nawaamini Kisire au Zakaria
Mwanza To Bukoba nawaamini Isamilo
Dar to Katoro nawaamini Geita express au Takbiri
Dar to Kasulu nawaamini Takbiri
Dar to Kahama nawaamini Frester
Mwanza to Kahama nawaamini Frester
Kahama to musoma nawaamini kisire
Dar To Tabora nawaamini NBC
Dar to Newala nawaamini

Nazunguka nchi nzima kwa Basi na hivi ndio hua nafanya.
Dar to Mwanza nawaamini katarama
Dar to kigoma nawaamini Adventure
Dar to Tanga nawaamini Ratco
Dar to Moshi nawaamini kilimanjaro express
Dar to Morogoro nawaamini Abood
Dar to Dodoma nawaamini Shabiby
Dar to Songea nawaamini Superfeo au selou
Dar to Bukoba nawaamini Abood na Happination
Dar to Singida nawaamini ABC safari
Dar to Iringa nawaamini Alsaedy
Dar to Masasi nawaamini Ibra Line
Dar to Mtwara nawaamini Manning Nice
Dodoma To Bukoba nawaamini SATCO
Mwanza to Silari nawaamini Kisire au Zakaria
Mwanza To Bukoba nawaamini Isamilo
Dar to Katoro nawaamini Geita express au Takbiri
Dar to Kasulu nawaamini Takbiri
Dar to Kahama nawaamini Frester
Mwanza to Kahama nawaamini Frester
Kahama to musoma nawaamini kisire
Dar To Tabora nawaamini NBC
Dar to Newala nawaamini Ibra
Ohooooo
 
Back
Top Bottom