Wale wapenda mabasi ya mikoani (wanazi) tukutane hapa

Huwezi kukuta tajiri anafanya hii michezo tafuteni hela watoto wenu wasije kuwa wanazi kama nyie

Dar to Mbeya
Dar to kigoma
Dar to Arusha
Dar to Katavi
Dar To mwanza
ATCL wanakufikisha bila tatizo
Dar to Bukoba
Dar to kahama
Dar to Arusha
Dar to Zanzibar
Precision/ Jambo jet unafika kwa uzuri kabisa
 
mkuu Ibra Line unazungmzia mwaka gan? labda Ibra Express anabamba hadi sasa newala japo yupo hoi sana
 
mkuu Ibra Line unazungmzia mwaka gan? labda Ibra Express anabamba hadi sasa newala japo yupo hoi sana

Enzi tunajenga daraja la mtambaswala, na enzi ya kuvuka kwenda msumbiji kuiba dhahabu, mbao pori na pembe za ndovu na kutorosha korosho ya msumbiji kuingiza Tanzania kimagendo kwa bei ndogo
 
Katarama ni noma
 
Uko njema, Dar Mbeya vipi?
Mi Dar to Tbr team Kisbo.
 
Siku hizi mnalala njiani siku moja mnapiga simu hadi kwa Rais wakati kutoka kibaha hadi mnazi mmoja ilikua masaa 4 hadi matano yaani na wakati wa kurudi unakosa usafiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…