Wale wapenzi wa liquor (whiskey and spirits) tukutane hapa. Tupia picha ukiwa unaenjoy kinywaji chako

Wale wapenzi wa liquor (whiskey and spirits) tukutane hapa. Tupia picha ukiwa unaenjoy kinywaji chako

Daaaaah!kitu kinavutia hiyo unakunywa Hadi Moyo wenyewe unasema "ASANTEEEE""Tatizo huyo Mwachiluwi akinywa hii atazimia...

image-2023-03-05-16:55:15-792.jpg

Nilianza na Wine naona Haina maajabu
Huyo tukimpa hizi anazikwa [emoji1787][emoji1787]
 
View attachment 2538176
Nilianza na Wine naona Haina maajabu
Huyo tukimpa hizi anazikwa [emoji1787][emoji1787]
😍😍😍😍😍Ila Moyo wako hauna Asante jamani😂,yaani umemaliza wine bado umegoma?haya hakikisha JD inapoisha Moyo unaserebuka.. Mwachiluwi atatuletea msiba tu 😂
 
Mi nilijua nikinywaji tu Kama Novida
Sijafatilia
Niliachana na pombe naona shetani amenirudisha kwa nguvu

Ila yafaa nini kuishi bila kunywa [emoji1787][emoji1787]
Na ule ulevi wako wa kupenda kutengeneza V na hzi pombe mbona hatari Sana mdada
 
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]Ila Moyo wako hauna Asante jamani[emoji23],yaani umemaliza wine bado umegoma?haya hakikisha JD inapoisha Moyo unaserebuka.. Mwachiluwi atatuletea msiba tu [emoji23]

Siwezi kuimaliza [emoji1787]
Hapa sioni vizuri natype kwa machale
 
Back
Top Bottom