Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,857
- 3,593
Imekuuma eenh? Bahati ya mwenzio usiilalie mlango waziMkuu hujaulizwa lakini unapokea kiasi gan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imekuuma eenh? Bahati ya mwenzio usiilalie mlango waziMkuu hujaulizwa lakini unapokea kiasi gan
Lucas ana hoja ya msingiUnajitekenya na kucheka mwenyewe, wakati tecno yako unaweka bundle la buku halafu unalialia.
VODACOM naomba mnisaidie kwanini Mb zangu zinakwisha Haraka pasipo matumizi utafikiri kuna jini linakula?
Ndugu zangu Watanzania, Mimi ni mtumiaji na mteja wa miaka mingi wa mtandao wa voda ,lakini Haijawahi kutokea na sijawahi kushuhudia hali hii katika simu yangu ya ulaji wa mb utafikiri kuna jini limepiga kambi kula mb zangu. Hali hii imejitokeza tangia jana jioni ambapo nilikuwa na mb mia mbili...www.jamiiforums.com
Jamaa hawezi kutuelewa, na mbaya zaidi anafikiri ambao tumejiajiri wote hatujaenda shule kabisa. Tumeenda kwa sehemu na tumewahi kuajiriwa kwa sehemu ila kuna gap kubwa sana kati ya kujiajiri na kuajiriwa.Ni j
Ni kweli mkuu biashara ina hitaji ujasiri na nidhamu na ukifanikiwa unakuwa mbali.
Mshamba sana na inawezekana hata halipwi hiyo ila basi tu aonekane yupo juu.Mkuu hujaulizwa lakini unapokea kiasi gan
Wana mtizamo finyu, hata wakimkuta mtu yupo na biashara zake wanaleta dharau wakidhani kuwa hajasoma kumbe mtu kaamua kuchagua njia hiyo.Jamaa hawezi kutuelewa, na mbaya zaidi anafikiri ambao tumejiajiri wote hatujaenda shule kabisa. Tumeenda kwa sehemu na tumewahi kuajiriwa kwa sehemu ila kuna gap kubwa sana kati ya kujiajiri na kuajiriwa.
Ila ni kweli bongo fursa ni nyingi ukilinganisha na kwingine ila ina hitaji umakini kuziona.Imani yangu nikua ukiwa na degree/diploma/certificate ukashindwa kuitumia bongo na ukashindwa kutoboa ningumu sana nchi nyingine. Kwangu Bongo Kuna furusa kibao.
Ofisi ya raisi sio mkuuTupo na maperdiem ya kutoshaa
Ujuzi ndio mtaji mkuu ndio maana vyuo vya nje vinatoa degree kwa recognition of prior learning.Hizi degree zenu za Bongo wala hazitambuliki kwanza, mimi naongelea watu wenye ujuzi wazungu wala hawaitaji vyeti, wanataka ujuzi wako tu.
Aaaah Jamani! Kama Sh(Tzs) milioni 3 na Laki Tano inamfanya mtu ajigambe; hapo kuna shida.Mshamba sana na inawezekana hata halipwi hiyo ila basi tu aonekane yupo juu.
Wewe na yeye mkalipwe huko mnako sifia sifia.Lucas ana hoja ya msingi
Ni kweli. Wahenga walisema Debe tupu haliishi kuvuma. Hao uliowataja hapo juu kama mfano; ukizingatia Deg. za siku hizi wengi ni za kuGoogle i.e. vijana wengi hawaumizi tena vichwa kusoma wala kuandika kwani anayo kompyuta-mpakato na anaweza kurekodi lecture nzima bila shida, anaweza kuomba notes kutoka sehemu nyingine, anaweza kufaulu kwa kuhonga "kile kitu cha kimasihara" n.k. n.k. yani Degree za siku hizi zinapatikana "At room temperature" . Kimbembe kinakuja sasa pale wakibahatisha ajira; kama ww ni mfuatiliaji Utabaki mdomo wazi kwa kile kiwango cha Huduma kitolewacho, wakifika huku mtaani ndo usiseme kabisa manake majigambo kwa wingi lakini mkononi amebeba bahasha ya khaki yenye CV + barua ya maombi, malalamiko kwa Serikali ndo usipime.Ujuzi ndio mtaji mkuu ndio maana vyuo vya nje vinatoa degree kwa recognition of prior learning.
Unakuta fundi gereji yupo vizuri hana maneno mengi kama hao wanaitwa Engineer ila anafanya kazi kwa vitendo na kazi ina onekana kitu ambacho hao wenye hizo degree hawawezi.
Majigambo mengi, mipango ya maneno mengi, bahasha ya kaki mkononi na mwisho anakuomba buku ya nauli.Ni kweli. Wahenga walisema Debe tupu haliishi kuvuma. Hao uliowataja hapo juu kama mfano; ukizingatia Deg. za siku hizi wengi ni za kuGoogle i.e. vijana wengi hawaumizi tena vichwa kusoma wala kuandika kwani anayo kompyuta-mpakato na anaweza kurekodi lecture nzima bila shida, anaweza kuomba notes kutoka sehemu nyingine, anaweza kufaulu kwa kuhonga "kile kitu cha kimasihara" n.k. n.k. yani Degree za siku hizi zinapatikana "At room temperature" . Kimbembe kinakuja sasa pale wakibahatisha ajira; kama ww ni mfuatiliaji Utabaki mdomo wazi kwa kile kiwango cha Huduma kitolewacho, wakifika huku mtaani ndo usiseme kabisa manake majigambo kwa wingi lakini mkononi amebeba bahasha ya khaki yenye CV + barua ya maombi, malalamiko kwa Serikali ndo usipime.
Imebidi tu nicheke, Sasa mkuu Jamaa anaeweka link za scholarship ulifatilia mambo yanayohitajika?. Kama hujapita form five na six, na huna degree yakwanza ambayo utakusaidia kupata recommendation letter ningumu kupata hata hizo scholarship.Hizi degree zenu za Bongo wala hazitambuliki kwanza, mimi naongelea watu wenye ujuzi wazungu wala hawaitaji vyeti, wanataka ujuzi wako tu.
Hii comment nimfano wa comment inayoonyesha chuki Kwa wasomi angalau walioanza kujipata.Majigambo mengi, mipango ya maneno mengi, bahasha ya kaki mkononi na mwisho anakuomba buku ya nauli.
Nihela nyingi kibongo bongo, na zaidi ya 80% ya watumishi wa uma hawapati huo mshahara, wengine mpaka wanafikisha miaka 30 ya utumishi Serikalini hawaugusi huo mshahara. kama kaupata na Yuko chini ya miaka 30 anaweza tengeneza vyanzo vya mapato nje ya huo mshahara akawa sio mwenzako.Aaaah Jamani! Kama Sh(Tzs) milioni 3 na Laki Tano inamfanya mtu ajigambe; hapo kuna shida.
Sio chuki mzee nime andika mambo halisi yaliyopo kwenye ground.Hii comment nimfano wa comment inayoonyesha chuki Kwa wasomi angalau walioanza kujipata.
Analeta majigambo ya kishamba na yasio na faida...Mshamba sana na inawezekana hata halipwi hiyo ila basi tu aonekane yupo juu.
Unavyojigamba ni kama Bongo nzima wewe ndio wakwanza kulipwa hela hiyo...Imekuuma eenh? Bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi