Wale wenye BSc, BA na degree nyinginezo mnaendeleaje na hali? Matarajio yenu yametimia baada ya kutunukiwa degree hizo?

Wale wenye BSc, BA na degree nyinginezo mnaendeleaje na hali? Matarajio yenu yametimia baada ya kutunukiwa degree hizo?

Yaani uweke pembeni kitu ulichokipambania kwa zaidi ya miaka 16 ya maisha yako? Badala ya kushauri mtu awekeze katika kutafuta njia bora za kuunganisha taaluma na kipaji chake tangu akiwa shule, wewe unaona ni bora asahau kabisa kama alitumia miaka mingi kutafuta alichokipata.
Samahani mkuu
 
Ulichoandika ni sawa na kusema,
A: "Hem angalia dirishani kama umeme umekatika kwetu tu au ni kote"
B: "umekatika kote"
A: Afadhali
Situation ikiwa hivi,
B: "itakuwa luku imeisha manake kwingine unawaka"
A: "daaah, una buku mbili hapo tununue?, manake mimi sina kitu"
B: "sasa tunalaaje leo na hili giza?"

Yaani kwa maelezo mengine ni kama unataka ujue vile watu wamepigika, ukisikia habari tofauti utakuwa mnyonge sana.
 
Wewe degree yako ni yakusifia sifia kama Mwijaku huna lolote, nje ya kuajiriwa wenye degree ni takataka tuu.

Hao darasa la saba unao wabagaza hapa ndio wenye biashara kubwa huko kariakoo na kwingineko na wame waajiri nyie na hizo degree zenu.
Mimi nina degree na nina biashara inayonipa kipato cha kutosha. Unajua mshahara wa aliyeajiriwa TPDC?

VILAZA Wenye biashara kkoo ni mmoja kati ya laki moja. Wengi ambao hawajasoma wana maisha magumu sana.
 
Ulichoandika ni sawa na kusema,
A: "Hem angalia dirishani kama umeme umekatika kwetu tu au ni kote"
B: "umekatika kote"
A: Afadhali
Situation ikiwa hivi,
B: "itakuwa luku imeisha manake kwingine unawaka"
A: "daaah, una buku mbili hapo tununue?, manake mimi sina kitu"
B: "sasa tunalaaje leo na hili giza?"

Yaani kwa maelezo mengine ni kama unataka ujue vile watu wamepigika, ukisikia habari tofauti utakuwa mnyonge sana.
Hii ni wewe unasema mkuu
 
Mimi nina degree na nina biashara inayonipa kipato cha kutosha. Unajua mshahara wa aliyeajiriwa TPDC?

VILAZA Wenye biashara kkoo ni mmoja kati ya laki moja. Wengi ambao hawajasoma wana maisha magumu sana.
Si umepata kwa kulamba watu miguu. Degree holder umekaa kusifia sifa huna maana kabisa.
 
Si umepata kwa kulamba watu miguu. Degree umekaa kusifia sifa hula maana kabisa.
Wewe nakutunuku degree ya kufuatilia maisha ya watu. Always misery loves company. Unataka kila msomi awe na maisha magumu kama ya kwako. Acha upuuzi. Kama hujasoma rudi shule. Kamwe msomi hawezi kuwa sawa na ambaye hajasoma hata kama hana hela.
 
Wewe nakutunuku degree ya kufuatilia maisha ya watu. Always misery loves company. Unataka kila msomi awe na maisha magumu kama ya kwako. Acha upuuzi. Kama hujasoma rudi shule. Kamwe msomi hawezi kuwa sawa na ambaye hajasoma hata kama hana hela.
Elimu gani imefanya nini zaidi ya kutuibia rasilimali zetu tuu mkiajiriwa na ili mjifiche kwenye wizi huo mnajidai kusifia sifa.

Mwanaume gani unakaa kusifia sifia kama demu
 
Elimu gani imefanya nini zaidi ya kutuibia rasilimali zetu tuu mkiajiriwa na ili mjifiche kwenye wizi huo mnajidai kusifia sifa.

Mwanaume gani unakaa kusifia sifia kama demu
Ambao hamjasoma mnashida, acha wasomi waendelee kutafuna kodi zenu ndio mtaona umuhimu wa elimu.
 
Ambao hamjasoma mnashida, acha wasomi waendelee kutafuna kodi zenu ndio mtaona umuhimu wa elimu.
Hilo ni tabaka la wachache wanao tafuna na wapo ambao pia hawaja soma.

Walio wengi wanaishi kikanjanja kanjanja mjini tatizo wa bongo wengi ni wanafiki na huwa hamtaki ukweli. Ukweli mchungu huu.
 
Back
Top Bottom