Wale wenye BSc, BA na degree nyinginezo mnaendeleaje na hali? Matarajio yenu yametimia baada ya kutunukiwa degree hizo?

Wale wenye BSc, BA na degree nyinginezo mnaendeleaje na hali? Matarajio yenu yametimia baada ya kutunukiwa degree hizo?

Shida serikali yetu haijui kusimamia vitu vyake ukichunguza utakuta shule za gvt zinaongoza kufelisha hata hospitali zao zina upungufu wa dawa na service mbovu
Ndio uhalisia wenyewe, mambo ni kanyaga twende tuu.
 
Naona upo kwenyr motion "Education is better than money" haya mkimaliza mtatwambia nani wameshinda ili nasisi huku uswahilini tuwaambie ukweli!!!
Huko Uswahilini naogopa sana huwa hamwangalii yale masuala ya Uendelevu na muda wakudumu (sustainability) wa hayo mafanikio mnayoyaona yanapatikana kwa sasa lakini hamjihusishi na hoja za Je; yatadumu kwa muda gani?
 
Wana jamvi kwema,

Leo nimeona niwajulie hali hawa ndugu zetu wenye BSc na BA na degree nyinginezo, vipi maisha yanaendaje baada ya kuhudhurishwa na kutunukiwa Shahada yako.

Vipi mategemeo uliyokuwa nayo, yame kuwa sawa na uhalisia huko duniani? Je, kati ya BSc na BA ipi imesaidia angalau kwenye kujikwamua nje ya ajira, yaani kujiajiri au kutumia ujuzi wako uliopata kutatua changamoto mbalimbali za maisha?

Asamaleko.
Wanatupa elimu mbovu ya Bure isiyo na maana

Degree is just a piece of paper
 
Back
Top Bottom