Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Infinix ndugu yake tekno shemejiiPhone au itel
,🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mkuu, ebu nenda Mirembe kabla hawaja kufunga kamba
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏃🏃🏃🏃Infinix ndugu yake tekno shemeji
😳😳🏃🏃🏃Nilisahau kama tumeingia awamu ya sita nikijua bado jiwe anatuongoza niliropoka jiwe amtumbue mwigulu wizara ya fedha watu wakabaki wananishangaa ndio nikagutuka
Aisee samahani, nimeshasahau nilitaka kuchangia nini hapa.Wale ambao wasahulifu tukutane hapa
Mm kisa cha kwanza nilimsahau demu wangu prisca upendo lodge pale kimara
Kisa cha pili nilisahau Kadi ya bank na hela laki 2 ATM ya CRDB LUMUMBA
Kisa cha tatu nilisahau siku ya interview ya TPDC
kisa cha nne nilisahau kwetu nikaenda kulala kwa jirani ilikua darasa la 3 hyo
Leta kisa chako
Sasa baada ya kumsahau demu...nini kilijiri.Wale ambao wasahulifu tukutane hapa
Mm kisa cha kwanza nilimsahau demu wangu prisca upendo lodge pale kimara
Kisa cha pili nilisahau Kadi ya bank na hela laki 2 ATM ya CRDB LUMUMBA
Kisa cha tatu nilisahau siku ya interview ya TPDC
kisa cha nne nilisahau kwetu nikaenda kulala kwa jirani ilikua darasa la 3 hyo
Leta kisa chako
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sijui kwanini Shemeji yenu kila akiniomba hela nasahau kumtumia
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mimi pia ninakumbwa na tatizo la kusahau, I do forget a lot mazee. Mpaka Huwa najishtukia.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Unazingua 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nilisahau kuwa nimefunga Ramadan nikajikuta nabugia baga na juisi matunda nikaendelea kuupongeza mwili.[emoji23]
Bora ummseme mtu kwa kusema wewe poor ondoka hapo kwa shangazi..Kila nikisema mwaka huu naondoka hapa kwa shangazi ili nikapange hua nasahau kuondoka
Mama anaupiga mwingi...Nilisahau kama tumeingia awamu ya sita nikijua bado jiwe anatuongoza niliropoka jiwe amtumbue mwigulu wizara ya fedha watu wakabaki wananishangaa ndio nikagutuka
daa pole mrembo hukufa lakini?Nilisahau kula