Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Nasahau mkuu πBora ummseme mtu kwa kusema wewe poor ondoka hapo kwa shangazi..
Kuliko kuja huku na kujifanya wewe ndo hutaki kuondoka mkuu
ππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasahau mkuu πBora ummseme mtu kwa kusema wewe poor ondoka hapo kwa shangazi..
Kuliko kuja huku na kujifanya wewe ndo hutaki kuondoka mkuu
ππππππ
Somo.la kuwa seriously ulipata FNasahau mkuu π
Bongo ukiwa serious sana unapata msongo wa mawazoSomo.la kuwa seriously ulipata F
ππππ
Na ulifumaniwa pasiansi ππππ ewwwwwWale ambao wasahaulifu tukutane hapa
Mimi kisa cha kwanza nilimsahau demu wangu Prisca upendo lodge pale Kimara
Kisa cha pili nilisahau Kadi ya bank na hela laki 2 ATM ya CRDB LUMUMBA
Kisa cha tatu nilisahau siku ya interview ya TPDC
Kisa cha nne nilisahau kwetu nikaenda kulala kwa jirani ilikuwa darasa la 3
Leta kisa chako
πππππ Wanasema ukitumia akili zako seriously hapa bongo uwezi kula.Bongo ukiwa serious sana unapata msongo wa mawazo
Ungekua nalo ungefanya jambo mtani?Nilisahau kubeba panga halafu nilikuwa msituni mitaaa ya Cheka kigamboni nilikutana na wahuni wakasepa na laptop pamoja na simu yangu
Ndio mtani ningewakata masikio wale jamaaUngekua nalo ungefanya jambo mtani?
πππFomu wani nilisahau twiga anaitwaje kwa kizungu nikaandika hivyo hivyo kwenye ese.
Utakuwaje shabiki wa Simba kwa stress za sasa uache kuwa msahaulifu?Wale ambao wasahaulifu tukutane hapa
Mimi kisa cha kwanza nilimsahau demu wangu Prisca upendo lodge pale Kimara
Kisa cha pili nilisahau Kadi ya bank na hela laki 2 ATM ya CRDB LUMUMBA
Kisa cha tatu nilisahau siku ya interview ya TPDC
Kisa cha nne nilisahau kwetu nikaenda kulala kwa jirani ilikuwa darasa la 3
Leta kisa chako
ese" ndiyi nini?Fomu wani nilisahau twiga anaitwaje kwa kizungu nikaandika hivyo hivyo kwenye ese.