Wale wenye tukio la kusahau tukutane hapa

Wale wenye tukio la kusahau tukutane hapa

Ni kawaida yangu nikiingia gest kuficha waleti yen ye pesa sehem mule. Nikiwa njwiii nilisahau waleti yenye dolali laki 5 kwenye kabati la mle Lodge. Nilirudi speed nikaipata. Nkajifanyisha nilisahau kumuachiq pesa ya kumtosha nilimpa laki Tsh akafurahu sana.
 
ila iz sindano za mgongo bwana,,nirud kwenye mada,,,,,,,kuna sku nmetoka zangu bath sasa nmepaka mafuta nmemaliza katika kuvaa nkaanza kutafta pichu na mkono wa kulia kumbe niliitoa nkashka mkono wa kushoto.

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wale ambao wasahaulifu tukutane hapa
Mimi kisa cha kwanza nilimsahau demu wangu Prisca upendo lodge pale Kimara
Kisa cha pili nilisahau Kadi ya bank na hela laki 2 ATM ya CRDB LUMUMBA
Kisa cha tatu nilisahau siku ya interview ya TPDC
Kisa cha nne nilisahau kwetu nikaenda kulala kwa jirani ilikuwa darasa la 3

Leta kisa chako
Na ulifumaniwa pasiansi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ewwwww
 
Pamoja na heshima zangu najikuta najisahau na-play kavideo ka aslay
 
Wale ambao wasahaulifu tukutane hapa
Mimi kisa cha kwanza nilimsahau demu wangu Prisca upendo lodge pale Kimara
Kisa cha pili nilisahau Kadi ya bank na hela laki 2 ATM ya CRDB LUMUMBA
Kisa cha tatu nilisahau siku ya interview ya TPDC
Kisa cha nne nilisahau kwetu nikaenda kulala kwa jirani ilikuwa darasa la 3

Leta kisa chako
Utakuwaje shabiki wa Simba kwa stress za sasa uache kuwa msahaulifu?
 
Ni raha sana kujumuika na wakubwa kijiweni kwenye kahawa.
 
Nikiwa na hela mara nyingi nasahau kila mtu,zikiisha nakumbuka kila mtu hata nilioanza nao shule ya msingi.
 
Back
Top Bottom