Dr Dre
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 2,664
- 2,810
utoto tu ulikua unakusumbuaSijioni mjanja wala nini na niliyenaye saa hizi ni mbali na mapenzi ni rafiki/mshikaji wangu ambaye naenda kwake na tunaongea na kufanya vitu vingine kwa sababu wote sio watokaji haswa tunaenjoy zaidi kukaa ndani.Mwisho wa siku unapewa unayefanana nae na mapenzi sio kunyanduana tu
Sent using Jamii Forums mobile app