Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Nacheka sana dah! Nimewahi lala na mwanamke na sikumla sijui shetani alikuwa bize na watu wengine daah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sifa mojawapo ya mwanaume ni kuweza kuhimili na kujizuia.Huyo mwanaume atakuwa shoga.
Kuna dada mmoja chotara wa kikaburu na kihehe, aliiuwa mshirika kibiashara, kwa kweli alikuwa na kila sifa.
Pamoja na kuumbika kwake haikunifanya nimtake kwani nilijua fika biashara na mapenzi haviendani.
Kuna wakati tulisafiri pamoja kwenda Nairobi.
Unakubalije kulala na mwanamke sio ndugu yako?Sifa mojawapo ya mwanaume ni kuweza kuhimili na kujizuia.
Kama unahisi mwanaume kujizuia na kuwa in ctrl na hisia zake ni "ushoga" then i dont know what to tell you!
Naona umepigia mstari mkuuLazima nijione ndani kwako [emoji1621]
Hao ndio wabakaji, watamanipo mwanamke hawawezi kujizuiaSifa mojawapo ya mwanaume ni kuweza kuhimili na kujizuia.
Kama unahisi mwanaume kujizuia na kuwa in ctrl na hisia zake ni "ushoga" then i dont know what to tell you!
Comments zinafurahisha
Humu watu wanajipakulia minyama tu,ila waweza kuta beki hazikabi[emoji16][emoji16]
Umemuona kijana mpole??
Kwako hiyo ni baati mbaya mkuu?😅Nacheka sana dah! Nimewahi lala na mwanamke na sikumla sijui shetani alikuwa bize na watu wengine daah
Hao ndio wabakaji, watamanipo mwanamke hawawezi kujizuia
Sisi sote ni ndugu, watoto wa baba mmoja.Unakubalije kulala na mwanamke sio ndugu yako?
Kuna watu Nyaya kichwani zilishaliwa na panya, Mtu anapitia kichaaa sembuse mtu mzima, Hapo ndipo utajua watu tuko tofauti sana kuliko tunavyoonekana nje.Last year nlisafiri kwenda mkoa wa jirani kwenye harakati za maisha nika mtaarifu jamaa yangu mmoja tulisoma wote kua nipo maeneo hayo akaniambia amefungua pub nikipata time niende nikapate bia kadhaa na kitimoto, basi mida ya night nikasogea maeneo yale palikua pame changamka kinoma nakagonga vyombo vya kutosha, mmoja wa wahudumu pale akanzisha mazoea na mimi mara nmununulie bia nikamwambia kunywa kadri uwezavyo mida ya saa sita na dakika kadhaa hivi wakaja police kutuondoa ( ile pub haina kibali cha kukesha) nlivyo taka kuondoka yule mhudumu akasema ataenda kulala na mimi nisimuache ilikua pisi kali kinoma tukaondoka zetu tukaenda kunywa sehemu nyingine mpaka mida ya saa tisa hivi nikamuchukua demu mpka lodge tumefika demu amezima nlicho fanya nikamvua nguo nikamtupa kitandani akalala mpka asubuhi.
Alivyo amka hakuamini kama ningeweza kulala nae bila kumfaya kitu asubuh tukaenda kupata supu nikampa posho yake nikaondoka zangu., baada ya wiki kadhaa yule demu alikuja nnapo ishi akanipa papuchi bila shuruti. Hua najiuliza mtu ane baka hisia anazitoa wapiView attachment 2128284
Asante sana.Hongera sana.
Mzima mkuu?, Nimekumiss.Hamna watamletea story zao za kupiga mashine mpaka atajishangaa.
Mkuu umemaliza kila kitu, hii mbinu nimewahi kuitumia mara kadhaa kwa mabinti tofauti, kiufupi wengi wao walikuwa wanarudi wenyewe na kunipa mbunye niichakate vizuri.....na walikuwa wakirudi nawaachia alama kama alivoiacha Ronaldo pale Bernabeu.Kwa bahati nzuri au mbaya tabia hii nilianzisha tangu naanza kuwa na mahusiano ya mwanzo kabisa, Mwanamke akisema ajisikii au kama sijamua hata arukeruke uchi usiku au mchana mzima siwezi kumuingilia mpka mimi mwenyewe niamue.
Amini ya kwamba wewe ndiye Master mind wa kila kitu kilichopo mwilini mwako, So hata Abdal unaweza kumzuia asikuongoze yeye.
Tabia hii imenijengea uaminifu, kunipa credit na ustarabu katika mapenzi na wanawake wengi kubaki kujiuliza unawezaje kufanya hivi, Wengi watazani naumwa au Ninamatatizo kwa ufupi, Usijarjbu kuniruhusu nimtembelee Dada yako au hata mpenzi wako, Itabiki kwake.
Nilichojifunza juu ya uwezo huu, unamjengea mwanamke confidence ya kuwa na Amani na ulinzi akiwa kwako, Pia unampa freedom ya kuchagua, wengi wetu wanaume wabongo ni tunawabaka tu, mtu anakwambia akingiia ghetto hatoki bila kuguswa, hiyo ni dhana tu.
Note: Kwa wale wanawake wenye majivuno, vidomodomo tafadhali usitumie hii strategic utaumia, Mimi pia sikuitumia kwa wanawake wote kwa kuwa kuna wengine watakufedhehesha.
Ni kuwa kama BUGATTI CHIRON SUPER SPORT huitaji kuwa mbele kwenye mstari, unaitaji kuwa miongoni mwa wanaosubiri mashindano kuanza.Mkuu umemaliza kila kitu, hii mbinu nimewahi kuitumia mara kadhaa kwa mabinti tofauti, kiufupi wengi wao walikuwa wanarudi wenyewe na kunipa mbunye niichakate vizuri.....na walikuwa wakirudi nawaachia alama kama alivoiacha Ronaldo pale Bernabeu.
HahaNa kutaka kula kitu kizuri usionyeshe uchu mkuu.
Hii visichana vya kuokoteza...tongoza na kula papo hapo ujue uko chaka na pia hujiheshimu kabisa.