Wale wenye uwezo wa kulala na mwanamke bila ya kufanya naye mapenzi iwe ni mara ya kwanza au ni marafiki au wapenzi

Wale wenye uwezo wa kulala na mwanamke bila ya kufanya naye mapenzi iwe ni mara ya kwanza au ni marafiki au wapenzi

Kuna demu kipindi fulan alitia huu mageto, dem amevaa kimahabahaba, sasa nikajitia Mtakatifu.

Dem fulu kunitega lkn najifanya mbishi.


Baadae akaondoka , Hakuwahi kurudi tena .



Tokea hapo, mkutano na demu wowote kama ni wa Mara ya kwanza, lazima NIMLE.
Huyo alikuwa kichwa kibovu, Hiyo ni heshima kwake na ulimthamini. Kama hakujua hilo basi anashida.
 
Mimi niliwahi muacha mwanaume kwa sababu hiyo ya kung'ang'ania.Ile siku anasema leo nataka uje ukujue nyumbani kwangu nikakubali kwa moyo mmoja lakini kwa sababu ya story kama za watu wengine humu kwenye hii thread nikamwambia kabisa no sex na namaanisha hilo, naye akaapa viapo vyote kwamba ni kuchill na kuvibe tu hatutafanya chochote.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani ile nimefika na kukaa tu hata mwili haujapoa na safari yumo tayari mwilini ananitoa nguo zikaanza vurumai kimoyo moyo nasema sijui kwanini nilifall kwa huu uongo yaani mianaume yote ni sawa tu.

Nilikuwa mbishi haswa akaniacha na nililala kwake usiku mzima anajaribu labda ntabadilisha mawazo hakuambulia kitu.Kesho yake niliamka mapema kurudi kwetu na alinisindikiza huku njiani ananiambia kwa hiyo nitampa lini sijui nitakuwa tayari lini ile kauli ikaniudhi zaidi tayari moyoni nikasema hapa hamna kitu siwezi tena,ila nikamjibu next weekend nikiwa najua akiondoka tu nablock huyu mtu.

Nilijisikia vibaya kuachana nae kwa sababu mbali na hicho alikuwa ni a decent man lakini alikuwa ananifanya mimi nifeel obligated kumpa sex wakati sikuwa tayari ndio nikamuacha tu hivyo.Wanawake tunahitaji sababu ya kuhave sex na sio kwa sababu wewe unataka na mimi nitake.
 
Wabongo nawagawa buree, wako ni ngono tyuuh, ndo maana wengi wao wana magonjwa hatarishi. Msieeeeew
 
Mimi niliwahi muacha mwanaume kwa sababu hiyo ya kung'ang'ania.Ile siku anasema leo nataka uje ukujue nyumbani kwangu nikakubali kwa moyo mmoja lakini kwa sababu ya story kama za watu wengine humu kwenye hii thread nikamwambia kabisa no sex na namaanisha hilo,naye akaapa viapo vyote kwamba ni kuchill na kuvibe tu hatutafanya chochote.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani ile nimefika na kukaa tu hata mwili haujapoa
alafu unajiona mjanja. siku nyingine ukiwa hutaki sex usikubali kwenda kwa mwanaume
 
Mimi niliwahi muacha mwanaume kwa sababu hiyo ya kung'ang'ania.Ile siku anasema leo nataka uje ukujue nyumbani kwangu nikakubali kwa moyo mmoja lakini kwa sababu ya story kama za watu wengine humu kwenye hii thread nikamwambia kabisa no sex na namaanisha hilo,naye akaapa viapo
Ungechoma moto mipira yake😄
 
Kuna demu kipindi fulan alitia huu mageto, dem amevaa kimahabahaba, sasa nikajitia Mtakatifu.

Dem fulu kunitega lkn najifanya mbishi.


Baadae akaondoka , Hakuwahi kurudi tena .



Tokea hapo, mkutano na demu wowote kama ni wa Mara ya kwanza, lazima NIMLE.
Weka picha ya huyo demu, ukute sura yake ilikuwa inafanana na Meddy Kagere [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom