Wale wenye waume waliowatia mimba binti zao wa kazi mje tushauriane

Wale wenye waume waliowatia mimba binti zao wa kazi mje tushauriane

Woman, i love you. Wanawake tunatiaga huruma, ujinga wa mwanaume ila tutautafutia excuse ili ionekane tu haikuwa ni kosa lao. Wao ni watoto kila siku, hawana ufahamu wa kulijua jema lipi na baya lipi

Ujue nasoma comments hadi macho yanapoteza uono; like seriously ndiyo tumefika huku?Mabinti wengi wa kazi wanatoka kwenye familia zisizojiweza, wanakuja kwetu wenye unafuu kidogo angalau wajipatie ridhiki watunze familia zao. Imagine huku kwetu wanapotutegemea, ndiyo wanakutana na hawa wabakaji tunaowaita waume zetu: disgusting.
Majority ni watoto ambao hawawezi kujitetea; hawa waume zetu wanatake advantage wa unyonge wao. Wanawatia mimba afu tunaishia kiwafukuza warudi vijijini kwao wakaongeze ugumu wa maisha. Tunashiriki kuharibu maisha ya watoto wa wengine, afu tunajifanya "watoto wangu wapo vizuri tu na tunaishi kwa amani"; amani ipi hiyo wakati mnapanda uharibifu kwa watoto wa wengine? Huyo Mungu haoni machozi na magumu mnayoyapanda kwa watoto wa watu?

Hivi maids si wanatakiwa watreatiwe kama watoto wa nyumbani, tangu lini wamegeuka kuwa wake zenu? Mwanaume asiyeweza kuheshimu mabinti wa nyumbani kwake; huko nje si ndiyo papuchi zinamtambua kwa zipu? Na kama anaweza kulala na maid ambaye ni kama binti yake, siku akikosa maid si ndiyo atahamia kwa binti zake au watoto wake wa kiume? Vijana wa kiume wajifunzie kukojoa kwa maids, na wewe baba mzima ukalale na maid; no wonder unakuta familia nzima imeambukizwa gonjwa kisa tamaa. Mnavyovipanda kwa mabinti wa wenzenu; mtavivuna kwa vizazi vyenu. Ngoja siku muingie kwenye familia zilizoshindikanika, mkatie mimba watoto wa watu afu mjifanye kuwatelekeza; maji mtaita mma.

Mijinga mingine haina hata haya, eti kuna maids wana makalio; kwa hiyo na mabinti zenu wakiwa na makalio mtawalala? Huo ufirauni wenu uwe na limit.
Nilikua nasubir kuona comment yako mam, hakika huwa hukoseagi wallah. [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Weee....nihangaike kufanya usahihi yananihusu nn??? Yule house girl hakujua km yule baba Ni mme wng?? Silei maotea mimi
Bas unge muambia huyo mumeo aweke misingi sahihi juu ya tatzo hilo, mtakuja kufanyia wengine mtaona Dunia chungu ooooh. Ila poleeh kwa masaibu.
 
Usiongee hili sababu hujakutana na binti mkali wewe. Of the same type that you like bro!

Unless uwe unavutiwa na akina Nsyuka tu wenye makope ya ajabu ajabu mjini na makucha nchi 2
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee m2 jomoneeeeh khaaaaah.
 
Huu uzi ni hatareeeh mabomu na risasi zinarushwa hewani, ukisikia "paaaaaaah" limemfikia muhusika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Woman, i love you. Wanawake tunatiaga huruma, ujinga wa mwanaume ila tutautafutia excuse ili ionekane tu haikuwa ni kosa lao. Wao ni watoto kila siku, hawana ufahamu wa kulijua jema lipi na baya lipi

Ujue nasoma comments hadi macho yanapoteza uono; like seriously ndiyo tumefika huku?Mabinti wengi wa kazi wanatoka kwenye familia zisizojiweza, wanakuja kwetu wenye unafuu kidogo angalau wajipatie ridhiki watunze familia zao. Imagine huku kwetu wanapotutegemea, ndiyo wanakutana na hawa wabakaji tunaowaita waume zetu: disgusting.
Majority ni watoto ambao hawawezi kujitetea; hawa waume zetu wanatake advantage wa unyonge wao. Wanawatia mimba afu tunaishia kiwafukuza warudi vijijini kwao wakaongeze ugumu wa maisha. Tunashiriki kuharibu maisha ya watoto wa wengine, afu tunajifanya "watoto wangu wapo vizuri tu na tunaishi kwa amani"; amani ipi hiyo wakati mnapanda uharibifu kwa watoto wa wengine? Huyo Mungu haoni machozi na magumu mnayoyapanda kwa watoto wa watu?

Hivi maids si wanatakiwa watreatiwe kama watoto wa nyumbani, tangu lini wamegeuka kuwa wake zenu? Mwanaume asiyeweza kuheshimu mabinti wa nyumbani kwake; huko nje si ndiyo papuchi zinamtambua kwa zipu? Na kama anaweza kulala na maid ambaye ni kama binti yake, siku akikosa maid si ndiyo atahamia kwa binti zake au watoto wake wa kiume? Vijana wa kiume wajifunzie kukojoa kwa maids, na wewe baba mzima ukalale na maid; no wonder unakuta familia nzima imeambukizwa gonjwa kisa tamaa. Mnavyovipanda kwa mabinti wa wenzenu; mtavivuna kwa vizazi vyenu. Ngoja siku muingie kwenye familia zilizoshindikanika, mkatie mimba watoto wa watu afu mjifanye kuwatelekeza; maji mtaita mma.

Mijinga mingine haina hata haya, eti kuna maids wana makalio; kwa hiyo na mabinti zenu wakiwa na makalio mtawalala? Huo ufirauni wenu uwe na limit.
Ukifuatilia kwa karibu hii sampuli ya watu waliomo mitandaoni, unaweza ukabaini ni kwa namna gani jamii ina watu wajinga mno.

Wengine mpaka wanalawiti mabinti wa kazi na kuwaharibu kwa kiwango kisichoelezeka!

Hawa mabinti wa kazi wengi wao ni watoto wadogo ambao kimsingi kuwafanyia unyama huo wa kingono ni ubakaji ambao unastahili kuwajibishwa kisheria.

Grave sexual abuse and assaults! Lakini jamii inashangilia.

Sielewi hawa ni aina ya watu waliozaliwa katika mazingira gani ya majalalani!!

Kuna tatizo kubwa sana la jamii ambayo imejengwa katika mazingira ya ngono za hovyo hovyo!

Wengine mpaka wanajisifu kubaka watoto wao wa kuwazaa! Ati ndio urijali kwa mujibu wa viwango vya Tanganyika! DISGUSTING!

Ndio hawa waliokuzwa kwenye familia ambazo baba, mama na watoto wanalala kitanda kimoja!

Uswahili uswahili na uchafu!

Ignorance and lack of basic decency!
 
Kwani hujawaozea kina Sheikh Yahya wa humu; ukiandika kinyume na mawazo yao basi watakutabiriaje na kukuita kila majina wanayohisi yanawapa amani nafsini mwao pyeeeeee

Ifike mahali hawa wapuuzi walipie unyanyasaji wao wa kingono wanaowafanyia mabinti za watu. Kuna mikurubembe myenzao huko nje kibao, kwa nini wasiitafute nyege zikiwazidi?

Eti kwa nini ulisafiri; ndiyo excuse ya mwanaume kulala na maid? Hakuna wanaume wanaosafiri kikazi au kibiashara humu, wanasafirigi na papuchi za wake zao au huku nyuma wake zao nao wapate excuse ya kulala na house boys? Shwain zao na robo tatu
Mpenzi umekereka sana jamani.
 
Nimefurahi kusikia kuwa sio wanaume wote. Ni mimi tu nina bahati mbaya kupata wa ivo. Pia huwa naona kwa majirani zangu wao hili halitokei.

Kwenye hii dunia wanaume wote ni wabinafsi na wengi wana unyama ndani yao.. akitaka kufanya lke hataangalia ana watt atawaumiza kiasi gani au mke ilimradi yeye afurahi, huwa hawajali matokeo ya maamuzi yao kabisa..

Ila pamoja na makosa yao mengi hakuna mwanaume mbaya hii dunia kama anaeacha wanawake wote anaamua kutembea na ndugu zako, au rafiki zako au wasichana wako wa kazi... huyu mwanaume ni mbaya kuliko nyoka, sijui kwann unaendelea kukaa hapo labda sbabu unazijua mwenyewe lakini kama una shughul zako za kukuingizia kipato na unaweza kumudu maisha ningekushauri uondoke..

Anakuumiza kisaikolojia na mbaya zaidi anakufanya ukose kujiamini wakati kiukweli mwenye makosa ni yeye sio wewe, hata kama ungesafiri mwaka mzima hakutakiwa kufanya alichofanya wacha kusikiliza hawa watu wa JF wanaojaribu kukuaminisha ww ndo mkosaji.

Maisha yamebadilika dada... huwezi kuzaa kwa uchungu bado ule kwa jasho lako bado mtu akusumbue akili, wanawake hatupo huko tena badilika jipende mwenywe kabla mtu hajakupenda au kukuonesha anakujali. Ukijidharau utadhauliwa sana hapa duniani, amezaa na wasichana wa3 bado unataka nn tena??
 
Ushauri wako si wa kujenga. Kuolewa au kuoa ni haki ya kila mwanamke na mwanaume. Pia we wajua mahitaji ya mwili ni pamoja na hilo.
Huwezi amini kama kuna mtu anaishi bila kinyongo na mwanamke au mtu yeyote duniani ni mimi. Na ndo maana hadi leo nipo na mume wangu na ninaamini ananipenda sanaaa tu. Haya nimeyaweka huku ili kupata maoni ya wengine tu.
Watoto wangu nipo nao karibu sana na haya yanayotokea kwa ma hg wala hawayajui. Huwa tunayamaliza na baba yao faraghani sana. Watoto wapo vizuri sana maana wanapata upendo wa baba na mama.
Kwa taarifa yako nyumba yangu au maisha ninayoishi mimi na familia yangu ni ya amani na furaha kiasi kwamba majirani na watu kutoka sehemu zingine na ndugu zetu wengine wanakuja kuomba ushauri.
Wacha weeeeeh

Boooonge la family.
...............

Hongera mwaya
 
Kwenye hii dunia wanaume wote ni wabinafsi na wengi wana unyama ndani yao.. akitaka kufanya lke hataangalia ana watt atawaumiza kiasi gani au mke ilimradi yeye afurahi, huwa hawajali matokeo ya maamuzi yao kabisa..

Ila pamoja na makosa yao mengi hakuna mwanaume mbaya hii dunia kama anaeacha wanawake wote anaamua kutembea na ndugu zako, au rafiki zako au wasichana wako wa kazi... huyu mwanaume ni mbaya kuliko nyoka, sijui kwann unaendelea kukaa hapo labda sbabu unazijua mwenyewe lakini kama una shughul zako za kukuingizia kipato na unaweza kumudu maisha ningekushauri uondoke..

Anakuumiza kisaikolojia na mbaya zaidi anakufanya ukose kujiamini wakati kiukweli mwenye makosa ni yeye sio wewe, hata kama ungesafiri mwaka mzima hakutakiwa kufanya alichofanya wacha kusikiliza hawa watu wa JF wanaojaribu kukuaminisha ww ndo mkosaji.

Maisha yamebadilika dada... huwezi kuzaa kwa uchungu bado ule kwa jasho lako bado mtu akusumbue akili, wanawake hatupo huko tena badilika jipende mwenywe kabla mtu hajakupenda au kukuonesha anakujali. Ukijidharau utadhauliwa sana hapa duniani, amezaa na wasichana wa3 bado unataka nn tena??
We mwenzio familia yake ina furaha,yeye na mumewe wana furaha.
Mambo yao safi kabisa.
Hata hawagombani, huwa anamuuliza polepole faraghani huko.
Wanatimua dada,maisha yanaendelea.
Ndugu na marafiki wanawaomba ushauri.

She is okey.
 
na familia yangu ni ya amani na furaha kiasi kwamba majirani na watu kutoka sehemu zingine na ndugu zetu wengine wanakuja kuomba ushauri.
Acha unafiki labla kama hii mada sio we we muhusika ila kama umetendewa hayo niseme mumeo ni malaya mbwa na anakudharau mno etiii furaha ungeandika mada kuomba ushauri Hugo mwanaume aendelee kukunyoosha.
 
We mwenzio familia yake ina furaha,yeye na mumewe wana furaha.
Mambo yao safi kabisa.
Hata hawagombani, huwa anamuuliza polepole faraghani huko.
Wanatimua dada,maisha yanaendelea.
Ndugu na marafiki wanawaomba ushauri.

She is okey.
Mwongo chezea Usaliti
 
Acha unafiki labla kama hii mada sio we we muhusika ila kama umetendewa hayo niseme mumeo ni malaya mbwa na anakudharau mno etiii furaha ungeandika mada kuomba ushauri Hugo mwanaume aendelee kukunyoosha.
Heb mwache wife material wa watu.
We utakuwa feminist, hujaolewa, au ni single mother.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hakyanani ndoa hizi.
 
Kumbe ndio maana mke wangu hataki wasaidizi!!!!
Ila hata mm ningemkula tu maana mambo mengine mnasababisha wenyewe kila siku mtu kachoka
 
Asante mbona nishakoma kitambo. Ila na wao wamekoma maana wanakomaaga na mimba zao na kulea watoto wao bila usaidizi. Sijawahi kuonana nao tangu niwafukuze kwangu, wanapambana huko vijijini
Unajua kama huyo mwanaume unayeishi nae ni mbakaji? Sasa nikwambie sifa ya mtu mbakaji? Hua haachi, Atahamia kwa watoto wake wa kuzaa ambao ni wako pia,

Kishazoea kutembea na watoto wadogo (house girls),
Unajisifu una mwaka mzima hujaweka house girl ukifika mwaka wa pili ataanza na mtoto wenu wa kwanza (hua hawajali jinsi hao),

You look so pathetic and fool kwa kuendelea kumkumbatia huyo mbakaji na mnyanyasaji wa jinsia hapo bado sijaja kwako jinsi anavyokudharau hadi kufikia hatua ya kubaka wasaidizi wenu katika kitanda chenu, ndugu zako wamepona? Ndugu zake je?

Wakati unaona unawakomesha hao wahanga wa ubakwaji, don't forget about Karma, do you know what they say?

Karma is a Bitch.
 
Back
Top Bottom