Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaeza kua hachepuki na house girl lkn anachepuka na wafanyakazi wenzie / wafanyabiashara wenzie, 90% ya wanaume walio kwenye mahusiano ya namna yoyote ile wanachepuka.Nimefurahi kusikia kuwa sio wanaume wote. Ni mimi tu nina bahati mbaya kupata wa ivo. Pia huwa naona kwa majirani zangu wao hili halitokei.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mzee acha mambo yako!Hakuna mgegedo mtamu kama wa osigelo... hasa pale wife anapokuletea kisirani chake
Aseeeh.Mkuu umefanya "Critical analysis" safi kabisa. Feminists ni sumu kwa ndoa za wenzao.
Si unamsaidia na haja ya mahitajia yake ya kimwili ambayo yangemfanya wakati mwingine aache majukumu ya kazi akayapate.!!Mtu ufanye ujinga wote, lakini kumlala binti wa kazi, hapana aisee. Anakusaidia kulea watoto, anakuangalizia nyumba mkiwa hampo, anapika, anafua na jinsi tunavyoishi nao ni kama watoto/wadogo zetu. Binafsi nipo against na hii kitu, tafuta mwanamke mwingine huko sio ndani ya nyumba.
Wewe hujawahi kuwa positive hata siku moja when it comes to marriage issues.Aseeeh.
Wanaume bana, mtu akiandika msichopenda ni feminist.
Well, kama tafsiri yenu ya kuwa tu na akili tofauti na wigo mnataka wanawake waishie kufikiri ni kuwa feminist then I am feminist.
Jambo la kushangaza sana.
Mna watoto wa kike
Mna madada
Mna binamu wa kike
Ondoa nafasi ya kuwa mume katika uzi huu
Baki ukiwa baba, kaka, binamu wa kiume, rafiki to a dear friend.
Hii ungependa iwe hadithi ya maisha yake ya ndoa?
Wud you be still praise that comment kuwa ni "critical analysis"?
Maisha hayaishii kwenye maisha yetu.
Tusiwe wabinafsi.
Ushasema mwanangu wa damu tena wa kumzaa namtamanije sasa bibie HoneyBee ??Mwanao akiwa na chura what happens next ?
Wewew mwanamke gaidi sana, ila nimecheka sana.Watieni na mimba Kama mnaweza,mme wangu alimtia mimba binti,nikajua sikumuuliza,nikatimua binti kimyakimya,nikahama nyumba,siku kaletwa na wazazi wake nyumba tulohama anaulizwa mwanaume anafanyia wap hata hajui,anaitw Nani hajui,jiran angu akawafata akawaambia huyu mtu alihama kikazi kahamoa mkoa fulan wakaondoka kimyakimya na kijukuu chao,mpk leo mme hajui km walimletea mtt na mawasiliano hawana.....yaan shida tuuuupu!!! Nisivopenda kuingilia mambo ya watu nimejikausha Kama sijui kinachoendelea najilelea wanangu Mimi!!! Shahawa zake zinatangatanga hukooooo
Tunachoooka jmn,mme anatembeza mboo km umeme wa rea vjijin,Wewew mwanamke gaidi sana, ila nimecheka sana.
Ni kweli kabisa, mwanaume kama huyu hachelewi kutembea na watoto wake wa kumzaa. Kuna kisa kimoja mwanaume alikuwa na tabia ya kutembea na kila house girl anayeletwa, yule mama kugundua tabia ya mumewe ikabidi aaache kazi ili afanye kazi zake mwenyewe bila house girl. Kilichotokea mume wake akawa anatembea na mtoto wake wa kumzaa ambaye ana miaka 13, mbaya zaidi alikuwa anamuingilia kinyume na maumbile. Alimuharibu yule binti sana. Nadhani mpaka sasa hivi ndoa haipo na imekua ni kosa la jinai.Kutembea na hg ni ushetani kama ulivyo ushetani mwingine,once you get started you can't seat down,kwahiyo jitahidi kadri mwanaume mwenzangu kujizuia,aina hii ya mahusiano mwishoni itaishia kuharibu tu nyumba yako na kudhalilika kwa jamii yote inayokuzunguka including watoto wako....
Yani yupo kama zombie.
Uzi umejua kuniharibia mood
Yaani mpaka nimetamani 😋😋😁Wewe kweli ni wife material
Aisee very sad indeedNinkw
Ni kweli kabisa, mwanaume kama huyu hachelewi kutembea na watoto wake wa kumzaa. Kuna kisa kimoja mwanaume alikuwa na tabia ya kutembea na kila house girl anayeletwa, yule mama kugundua tabia ya mumewe ikabidi aaache kazi ili afanye kazi zake mwenyewe bila house girl. Kilichotokea mume wake akawa anatembea na mtoto wake wa kumzaa ambaye ana miaka 13, mbaya zaidi alikuwa anamuingilia kinyume na maumbile. Alimuharibu yule binti sana. Nadhani mpaka sasa hivi ndoa haipo na imekua ni kosa la jinai.
Mwanaume wa hivi sio wa kumchekea. Na hii tabia ni kama ngozi mwanaume akiianza hawezi kuacha. Akikosa msichana wa kazi anageukia ndugu au watoto wake.Aisee very sad indeed
Kusema kweli huyo jamaa hafai anaendeshwa na matamanio zaidi kuliko fikiraTunachoooka jmn,mme anatembeza mboo km umeme wa rea vjijin,
KICHWA KIDOGO HUWA KIKIKAMATA NETWORK KICHWA KIKUBWA KINAKUWA DORMANTSiyo wanaume wote.
Ukimchukulia house girl kama mwanao (kwani wengi ni wadogo), huwezi waza kumfanyia upuuzi kama huo.
Watu wanaoamini mahubiri ya nabii Titto ya kutafuna housegirl nawaona kama ni wanaume wakatili.
Sahihi desturi ya umalaya Ni kukosa haya .. ukishakuwa Malaya Sana haya inakutoweka na kila mtu ataye katiza mbele yako unaona nihalali tu kwako unakuwa unafuata kile Ambacho matamanio yako yanasema hii Ni mbaya Sana na Ni dalili za kukosa utashi wa kufikiriMwanaume wa hivi sio wa kumchekea. Na hii tabia ni kama ngozi mwanaume akiianza hawezi kuacha. Akikosa msichana wa kazi anageukia ndugu au watoto wake.
Kuwa positive ni kusema sawa housegirl atumike kingono, apewe ujauzito, aondolewe.Wewe hujawahi kuwa positive hata siku moja when it comes to marriage issues.
Mie hayo mambo yamtokee dada, mtoto or whoever the choice inabaki kwa mwenyewe. Unless iwe ni physical violence naweza kuingilia na lazma chanzo nikielewe isije ikawa umalaya wake mtu halafu ajilize akidundwa au ujeuri wake.
Otherwise, siwezi nikaanza kum judge mtu for the choice she makes. Ili kuepuka kuonekana mchawi its very nice kukaa kimya.
Na kuna watu hapa wanachekelea na kuona hiki kitu ni sawa.Ninkw
Ni kweli kabisa, mwanaume kama huyu hachelewi kutembea na watoto wake wa kumzaa. Kuna kisa kimoja mwanaume alikuwa na tabia ya kutembea na kila house girl anayeletwa, yule mama kugundua tabia ya mumewe ikabidi aaache kazi ili afanye kazi zake mwenyewe bila house girl. Kilichotokea mume wake akawa anatembea na mtoto wake wa kumzaa ambaye ana miaka 13, mbaya zaidi alikuwa anamuingilia kinyume na maumbile. Alimuharibu yule binti sana. Nadhani mpaka sasa hivi ndoa haipo na imekua ni kosa la jinai.
Hapana kaka, as long as ni dada wa kazi inakuwa imeishia hapo, siwezi kuwa na tamaa za kumbandua dada wa kaziUsiongee hili sababu hujakutana na binti mkali wewe. Of the same type that you like bro!
Unless uwe unavutiwa na akina Nsyuka tu wenye makope ya ajabu ajabu mjini na makucha nchi 2