Heheyehehe
Mistari ya kuwakomboa akili hamuitaki.
Ya kuwaaMbia ndoa haivunjiki ila kwa uzinzi wala sio mistari kwenu.
Hii ya kuendelea kuwapa hadhi za Mrs fulani.
Mke wa ndoa.
Mke wa fulani ndo mnaipenda kweli.
Ila deep down your heart unajua unavojeruhika
Unajua unavomchukia Mumeo
Unajua usivyomfurahia tena
Unajua usivyomtamani tena
Unajua usivyohisi kumhitaji kimwili tena
Unajua usivyofika kilele tena
Unajua unavyojichukia
Unajua unajitazama kwenye kioo mara 20 kwa siku kutafuta Kasoro yako kimaumbile.
Unajua love.
Until next time, endelea na hii ganzi unayojipiga akilini.
Siku ukiruhusu kuumia kutoke nje, actually siku chupa yako inayojaza haya matone ya maumivu ikijaa.
Italipuka ,puuuuh.
Yenyewe, na hutakaa ujue nini kilitokea EXCEPT that the damage will be there ,right before your eyes.
Na it will be FATAL.
Trust me.