ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] no way mkuu!Bado tunaishi usimalize maneno [emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] no way mkuu!Bado tunaishi usimalize maneno [emoji3][emoji3]
Niko mkoani mie....vya dar siviweziiiii,kulelea wajukuu nyumba za kupanga inahuuu????Unaishi Mbagala sehemu gani dada?
Kwani kwa mara ya kwanza utajuajeNa ukiwa na mwanaume mwenye tabia hiyo usiweke msichana kabisa.
Weee....nihangaike kufanya usahihi yananihusu nn??? Yule house girl hakujua km yule baba Ni mme wng?? Silei maotea mimiHukufanya sahihi ki ukweli.
Siyo kweli.....toka nipo na huyu baba sijawahi vua chupi sehem nyingine,kiukweli kijana Yuko vzr yaan ana full package,yangekuwa maziwa ningekuonjesha!!!Si ajabu jamaa anahudumia shawah za mwanaume mwingine ilhali shahaw zake zinatangatanga hukooo!
😀😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] no way mkuu!
Aisee😋😋😋Siyo kweli.....toka nipo na huyu baba sijawahi vua chupi sehem nyingine,kiukweli kijana Yuko vzr yaan ana full package,yangekuwa maziwa ningekuonjesha!!!
Hata mimi naona kama ni unyanyasaji , maana unaweza kuta wanakataa, ila wanakuwa waogaMtu ufanye ujinga wote, lakini kumlala binti wa kazi, hapana aisee. Anakusaidia kulea watoto, anakuangalizia nyumba mkiwa hampo, anapika, anafua na jinsi tunavyoishi nao ni kama watoto/wadogo zetu. Binafsi nipo against na hii kitu, tafuta mwanamke mwingine huko sio ndani ya nyumba.
Nna amani vbaya mnooo......atombe yeye shida nipate mie inahuuuuuuNdo mwenyewe anaona anapata amani.
Yani dah
Du! watu muna moyo. Yaani bado upo tu unavumilia aje na wa nne.Baada tu ya Miezi 6 ndani ya ndoa nilisafiri kwa wiki 2 . Niliporudi mume kansmbia nimpe nauli hg arudi kwao ufanisi umeshuka. Badae nikaambiwa namajirani kuwa hg yu mjamzito
Wa pili pia nilisafiri na watatu vilevile. Na wote hao nilipomuuliza mr alikubali kuwa ni kweli.
Mie kidume lakini nyie wanawake mnatia ujinga mwingi sana. Sasa aongee nae ninj hapo? Ni kuchukua kilichochako na kusepa end of story.Miaka kumi watatu, ikifika miaka 20 idadi itakuwa kubwa zaidi.
Kinachofuata ni maradhi maana mumeo hatumii kinga.
Yafuatayo huenda yakatia aibu zaidi.
Ongea naye.
Ukisikia ujinga ndio huoDu! watu muna moyo. Yaani bado upo tu unavumilia aje na wa nne.
Wewe kweli ni wife materialUshauri wako si wa kujenga. Kuolewa au kuoa ni haki ya kila mwanamke na mwanaume. Pia we wajua mahitaji ya mwili ni pamoja na hilo.
Huwezi amini kama kuna mtu anaishi bila kinyongo na mwanamke au mtu yeyote duniani ni mimi. Na ndo maana hadi leo nipo na mume wangu na ninaamini ananipenda sanaaa tu. Haya nimeyaweka huku ili kupata maoni ya wengine tu.
Watoto wangu nipo nao karibu sana na haya yanayotokea kwa ma hg wala hawayajui. Huwa tunayamaliza na baba yao faraghani sana. Watoto wapo vizuri sana maana wanapata upendo wa baba na mama.
Kwa taarifa yako nyumba yangu au maisha ninayoishi mimi na familia yangu ni ya amani na furaha kiasi kwamba majirani na watu kutoka sehemu zingine na ndugu zetu wengine wanakuja kuomba ushauri.
Kwa kumkomesha ningetafuta house boy Handsom balaa alafu namlipa vizuri nione atafanyaje?Pole sana,tafuta sasa wa kiume wa kukusaidia kazi usitafute wa kike.Jamaa yako hana aibu kosa huwa mara moja tu zaidi ya hapo ni makusudi
Pamoja na hayo, Sheria inasema Wanastahili Urithi. Hakuna mwanaharamu mbele ya Sheria bali wazazi haramu.Asante mbona nishakoma kitambo. Ila na wao wamekoma maana wanakomaaga na mimba zao na kulea watoto wao bila usaidizi. Sijawahi kuonana nao tangu niwafukuze kwangu, wanapambana huko vijijini
OkEmotional based opinion! You should have the big picture of the matter! Mawazo yako sio mawazo yake...
.
😂😂😂😂😂Weee....nihangaike kufanya usahihi yananihusu nn??? Yule house girl hakujua km yule baba Ni mme wng?? Silei maotea mimi
YaniiiiMie kidume lakini nyie wanawake mnatia ujinga mwingi sana. Sasa aongee nae ninj hapo? Ni kuchukua kilichochako na kusepa end of story.
❤What is the bigger picture?
Duh.Nimeelewa hivyo Upo sahihi kwa comments nyingi katika uzi huu. Mwl Inaonesha ulivyo na uchungu moyoni na ungependa na wengine waipatepate kama wewe