Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Humu ferooz kalia sana kwa Boss
Juma nature ndio kama yule mwanao kabisa wa damu ana hasira mbaya na boss kwa uhuni aliokufanyia.
Alafu mchizi solo thang ana poza hasira kwa mwanae ferooz asichukue maamuzi magumu maana mwana ana ahasira na Boss ila unyonge wa kuhofia ajira una mhold back.
Ila kumegewa ina onekana ina umma sana hasa na maboss, poleni sana mliowahi kukutwa na mikasa hii.
Juma nature ndio kama yule mwanao kabisa wa damu ana hasira mbaya na boss kwa uhuni aliokufanyia.
Alafu mchizi solo thang ana poza hasira kwa mwanae ferooz asichukue maamuzi magumu maana mwana ana ahasira na Boss ila unyonge wa kuhofia ajira una mhold back.
Ila kumegewa ina onekana ina umma sana hasa na maboss, poleni sana mliowahi kukutwa na mikasa hii.