Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Duh mbona hatariMi mwenyewe nimeshuhudia mfumaniwa alitoa mguu wa kuku watu wakasambaa jamaa akaenda piga mke akavunja mguu kesi ikamgeukia akakimbilia Kenya.. 🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh mbona hatariMi mwenyewe nimeshuhudia mfumaniwa alitoa mguu wa kuku watu wakasambaa jamaa akaenda piga mke akavunja mguu kesi ikamgeukia akakimbilia Kenya.. 🤔
Mambo ya kufumania ni ujinga wa kizamani zamani nikiwa kijiji bado dogo kuna jamaa alikuwa amepowa home sasa mtu akamtonya nimemwona mke wako na mtu mahali ulikuwa usiku wa saa mbili hivi..Duh mbona hatari
Aisee sema ukishajua mwenzi wako ni msaliti ni kumuacha tu.Mambo ya kufumania ni ujinga wa kizamani zamani nikiwa kijiji bado dogo kuna jamaa alikuwa amepowa home sasa mtu akamtonya nimemwona mke wako na mtu mahali ulikuwa usiku wa saa mbili hivi..
Sasa jamaa akatoka na panga akakuta mke amebananishwa kwenye kagiza hivi akauliza mnafanya nini hapa jamaa akamsukuma mwanamke akavuma rungu likampiga mwenye mke kichwani akakauka pale pale ...
Mke akimbia ila walikamatwa baadae..
Hiyo ndo akili mana sasa unamrudisha msaliti nyumbani kwako unataka aje akuuwe au?Aisee sema ukishajua mwenzi wako ni msaliti ni kumuacha tu.
Kuna uwezekano mkubwa huyo alie fumania ndio mchepuko , hata ukiwa jate Lee ukifumaniwa lazima uwe mnyongeKuna mtu alimegewa, siku ya kufumania akapigwa makofi na aliyemfumania
Poleni sana kumegewa kunauma sana ukifikiria walivyokuwa wanamuinamisha mbuzi kagoma mkeo, lazima uwehuke.!!Hakuna mzee watu wametishwa na mke ameshaliwa na wakapoa tu mbona..
Kumuinamisha mke mbuzi kagoma ndio nn?Poleni sana kumegewa kunauma sana ukifikiria walivyokuwa wanamuinamisha mbuzi kagoma mkeo, lazima uwehuke.!!
😂😂😂 Kumfanyia maombi mapepo yatokeKumuinamisha mke mbuzi kagoma ndio nn?
Bc unyama 💪😂😂😂 Kumfanyia maombi mapepo yatoke
Mimi sipo hivyo naishi na mke wangu tuna watoto wawili huku mimi nikiwa ni mtoto wangu wa tatu nilishaowa once. Mke akaondoka nikiwa nipo safarini Mwa za ambako nilikaa miezi 2 mke akaamua akaolewe na classmate wake akaenda na mtoto wangu wa kwanza akiwa na 2 years.Poleni sana kumegewa kunauma sana ukifikiria walivyokuwa wanamuinamisha mbuzi kagoma mkeo, lazima uwehuke.!!
Hii mara nyingi huwa naisema kumegewa kunauma sana na inapelekea kuchukia na kuona wanawake wengine km nao wasaliti hata km hawako hivyo..!! Nna rafiki yangu naye anaona wanawake wote wasaliti sababu walishampigia mzazi mwenzie. Na hii inapelekea kuwa na visirani sana na kupenda kufoka foka hovyo.Mimi sipo hivyo naishi na mke wangu tuna watoto wawili huku mimi nikiwa ni mtoto wangu wa tatu nilishaowa once. Mke akaondoka nikiwa nipo safarini Mwa za ambako nilikaa miezi 2 mke akaamua akaolewe na classmate wake akaenda na mtoto wangu wa kwanza akiwa na 2 years.
Tokea hapo sikuwahi kuhisi tena wivu au uchungu juu ya mwanamke pengine hata huyu anachepuka au amewahi sijui lakini kweli sioni kama natishika hata wakimla jicho la tatu...🙂
Nimekomaa vya kutoshaa
😂😅 Pole yao sana kwa yaliyowakuta...
Wengi wanashindwa kuendelea wenyewe wanaamua kuishi nao. Pia msukumo wa familia.Hiyo ndo akili mana sasa unamrudisha msaliti nyumbani kwako unataka aje akuuwe au?
Mkuu uchaguzi ni wako kama we ni sahihi mrudie ila mi nashauri msaliti afukuziwe mbali ..Wengi wanashindwa kuendelea wenyewe wanaamua kuishi nao. Pia msukumo wa familia.
Msaliti kwangu hafai hata nishinikizwe na malaika siwezi kubali kuendelea nae kamwe kwa sababu nitakaeishi nae ni mimi na sio hao wanaoshinikiza.Mkuu uchaguzi ni wako kama we ni sahihi mrudie ila mi nashauri msaliti afukuziwe mbali ..
Kweli mkuu kupenda kuna mipaka bhana huwezi penda mtu anaekusaliti huu ni ujinga na kutojiamini..Msaliti kwangu hafai hata nishinikizwe na malaika siwezi kubali kuendelea nae kamwe kwa sababu nitakaeishi nae ni mimi na sio hao wanaoshinikiza.
Uzi ufungweee!!!kumegewa ni siri ya ndani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora umegewe na boss in the end it somehow justify the means....fikiria unamegewa na kakijana kahuni ka bodaboda!!!