π π π πInauma sana ukifikiria ilivyokuwa ikichomoka anairudisha huku analegeza jicho kuisikilizia.!! Wanaume mliochapiwa poleni sana. Mungu awatie nguvu.
Mkeo/demu wako akifikia hatua hiyo na ukajua, trust me hauwezi kuwa sawa lazima ikutafune deeply hata uigize vipi. Na kila mwanamke utamuogopa.!!
Mm ndo nakuambia, tunaoishi uswahilini tunaona mengi kuliko nyie wa ushuaniUmeanza uongo wako
Kwender huko na chai zako πππMm ndo nakuambia, tunaoishi uswahilini tunaona mengi kuliko nyie wa ushuani
Oh hayajakukuta wwKwender huko na chai zako πππ
Hivi unajua ukifumaniwa unakosa nguvu??
kumegemewa ni mbaya sana ila kumumegea mtu ni tamu sana cjui inakuaje nijitahidi kumuacha huyu mwanadada ila nashindwani bora usijue
Endelea, ipo siku utauponzakumegewa ni mbaya
kumegemewa ni mbaya sana ila kumumegea mtu ni tamu sana cjui inakuaje nijitahidi kumuacha huyu mwanadada ila nashindwa
πππkumegewa ni mbaya
kumegemewa ni mbaya sana ila kumumegea mtu ni tamu sana cjui inakuaje nijitahidi kumuacha huyu mwanadada ila nashindwa
π π π π aliyatimba mwanaKuna mtu alimegewa, siku ya kufumania akapigwa makofi na aliyemfumania
Me nilishuhudia mtu kuzimia mwenyewe baada ya kumfumania mkewe, hivyo kumfanya mgoni kuvaa vizuri na kuondoka pole pole bila kukurupuka.Kuna mtu alimegewa, siku ya kufumania akapigwa makofi na aliyemfumania
Dharau iliyovuka kiwango na kuvuka mipaka.π π π π aliyatimba mwana
Mi mwenyewe nimeshuhudia mfumaniwa alitoa mguu wa kuku watu wakasambaa jamaa akaenda piga mke akavunja mguu kesi ikamgeukia akakimbilia Kenya.. π€Huyo ni mnyonge wa kutupwa
Hakuna mzee watu wametishwa na mke ameshaliwa na wakapoa tu mbona..Kwender huko na chai zako πππ
Hivi unajua ukifumaniwa unakosa nguvu??