Wale wote mliowahi kumegewa, poleni sana

Hivi adhabu ya ugoni ni ulawiti? Si ndo kuongeza mashoga uraiani huku.
Khaaaaaah
 
Lazima awe chizi mke wa mtu sumu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jirani mbona kama umepiga pale pale panapouma? πŸ˜‚
Ukiwaza namna alivyokuwa anaifinyia kwa ndani na kujituma dah maumivu.
 
Hiii hatarii lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna mtu alimegewa, siku ya kufumania akapigwa makofi na aliyemfumania
Bora hata huyo, Kuna mmoja hapa Dom alipewa mchongo na wasamalia wema kwamba huwa akisafiri kuna kigogo mmoja anakuja kulala kwake anajitafunia mkewe...jamaa akawa anabisha ipo siku akakubali kuunda mtego kwamba anasafiri then akarudi ghafla usiku wa manane akafuma mdingi kigogo yuko ndani anakula mzigo alipotaka kuleta noma ya kumjazia nzi yule kigogo akatoa bastola na kumtishia jamaa kwamba atammwaga ubongo ikabidi mwana anywee yule kigogo akamwambia ainame achomekewe mb.oo maana kaharibu ratiba ya mzee ikabidi mwana auinamie kigogo akakitupa kisha akamwambia akithubutu kutangaza kwa watu au akimuacha huyo mkewe basi atakufa kifo cha kutatanisha!
Mpaka leo jamaa anaishi na mkewe kaamua kuwa mlevi ili kupunguza maumivu ya kuliwa na hata siri hii aliropoka siku moja akiwa amelewa
 
Usifumanie mke peke yako,wapiga debe waliojaa mjini unafeli vipi kutafita 6 ukaenda nao.
 
Alooo huyu mama atamuua huyu dingi kwa presha sio kwa dharua hizi yaani kakubali kikitoa nje. Amteme tu kunusuru uhai wake.
 
Kwender huko na chai zako πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hivi unajua ukifumaniwa unakosa nguvu??
Inategemea, kuna jamaa aliwahi kufumaniwa alafu yeye ndiye akageuka mbabe, hapo mtaa mzima umejaa nje ya G/house na hawakumfanya kitu.
 
Hii umetupanga ila fresh tuu ngoja tuishi nayo
 
Aisee πŸ€”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…