Wale wote 'mnaomtetea' Haji Manara na 'Upuuzi' na 'Unafiki' wake popote pale mlipo naomba mnijibu haya Maswali yangu Kwenu

Wale wote 'mnaomtetea' Haji Manara na 'Upuuzi' na 'Unafiki' wake popote pale mlipo naomba mnijibu haya Maswali yangu Kwenu

Wenda hakutumia njia sahihi kuwasilisha alichowasilisha (kwa muonavo nyie) ila ni vyema mkajibu kwanza HOJA zake ndo mje na maswali yenu hapa

Ishu ya mkataba wa milioni 4,aliuliza Hanspope then Manara kalitolea ufafanuzi au hamkumuelewa? bas ni zamu yenu kuja na majibu ya hoja za Manara
 
simba hawezi jibu upuuzi huo. watz mnapenda sana umbea. mbapenda mipasho sana. simba sasa ni level za al ahly, kaizer, mamelod.
Hapo ndipo tunapokosea unajua CAF na fifa zilianza kama umbea kumbe watu wanaojifanya wema ndio wapigaji guys uingileza kukosa nafasi ya kuaanda world cup aliupiga mdomo na mipasho fifa mwishowe kikichotikea nadhani unajua manara anaweza kuwa na makosa na mapungufu mengi ila anaweza kuw whistle-blower MO inabidi achunguzwe form is temporarily ila uchumi wa timu ni wa muda mrefu
 
Simba hawana Cha kujibu ,manara aache Kiki za kipuuzi ,Simba haina mda wa kujibu wapumbavu

Simba hawana Cha kujibu ,manara aache Kiki za kipuuzi ,Simba haina mda wa kujibu wapumbavu
Guys manara anaweza kuwa na makosa na mapungufu lakini kuna vya kuchunguzwa maana menejementi ya simba imeonekana na udhaifu mkubwa sana
 
Kwanza manara hajawahi kuwa mshabiki au mwanachama wa simba,huyo ni yanga pure kule alidata hela tu,na ndio maana yanga walikuja kwenye harusi yake na kumpa vitu vingi sana...
ila ni kweli manara atahamia timu nyingine maana alisema anaenda kwanza nje kupunzika akirudi ataeleza anaenda wapi au timu gani ,ila mi nahisi ataenda Azam ,Yanga pale sidhani kama atapata nafasi
 
Haji kaongea vitu vingi ila tunaweza kuviganya sehemu mbili, ya kwanza kaongea kuhusu maslahi yake binafsi ambayo kiukweli hayatuhusu kama alikuwa analipwa au halipwi anatakiwa kujua wapi apeleke malalamiko yake. Swala la pili ameongea jinsi Mo anavyoitapeli Simba pale kuna hoja ambazo Simba wanatakiwa watoke wazijibu, kama Mo anaona Bhakresa anatoa pesa ndogo yeye anatakiwa atueleze mikataba anayoingia na Simba kutangaza bidhaa zake analipa shilingi ngapi?

Anasema kwa miaka 4 ametoa zaidi ya bilioni 21 mbona haelezi kuwa kipindi hicho Simba iliingiza shilingi ngapi na pia kwanini alikimbilia kuichukua asilimia 49 kabla mchakato haujakamilika.

Kwa mujibu wa makubaliano baada ya yeye kupitishwa kuwa mwekezaji alipaswa kulipa asilimia 10 mwezi wa kwanza na kumalizia nyingine baada ya miezi 3 je tukisema pesa alizopaswa kuwalipa Simba alikuwa anazifanyia biashara tutakuwa tumekosea.

Mo amesema mkataba wa Simba na Azam Tv hauendani na thamani ya Simba kama ni kweli atueleze bilioni 20 alizotoa kama asilimia 49 zinaendana na thamani ya Simba.

Sisi Simba tunachota ni kuwa na timu nzuri yenye mafanikio lakini asizuie watu wengine wanaotaka kuwekeza Simba.

Pia atueleze kama sheria zinataka wawekezaji wawe 3 kwanini ni yeye peke yake amepewa uwekezaji.
 
1. Je, Kisheria baada ya jana Haji Manara kuitaja Kampuni ya Azam akiihusisha kuwa na Vita ya Chuki na Kampuni za Mohammed Dewji yuko salama kama aliyeguswa akitaka Kumshtaki?...
Yaani alichokifanya Haji ni sawa na kujitia dole la kati mwenyewe halafu akilinusa anauliza linatoa harufu gani. Kajiharibia big time
 
ila ni kweli manara atahamia timu nyingine maana alisema anaenda kwanza nje kupunzika akirudi ataeleza anaenda wapi au timu gani ,ila mi nahisi ataenda Azam ,Yanga pale sidhani kama atapata nafasi
Azam hawezi kwenda kwa sasa yupo dubai kwa hisani ya gharib,ni wazinanaenda yanga

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kama Manara hayuko sahihi mkamshitaki tuone.
 
Yaani wanaomtetea Manara saivi ni Yanga duh!!![emoji23][emoji23]
😂😂😂 Mkuu mpira sio kama siasa kwamba unaweza ukahama chama.
Shabiki wa mpira anaenda na upepo unakoenda 😂😂.

Huyu si alifurahia manara kuwasema vibaya waandishi leo hii anakuja na eti na maswali ya ajabu ajabu
 
Back
Top Bottom