Wale wote 'mnaomtetea' Haji Manara na 'Upuuzi' na 'Unafiki' wake popote pale mlipo naomba mnijibu haya Maswali yangu Kwenu

Wale wote 'mnaomtetea' Haji Manara na 'Upuuzi' na 'Unafiki' wake popote pale mlipo naomba mnijibu haya Maswali yangu Kwenu

mbona mnakuwa wapumbavu hivi ,manara aligoma kusaini mkataba Sasa utamshikia bunduki asaini?Kama alikataa mkataba Sasa analia nini
Kuwa na akili japo kidogo tu!!yaani baada ya kumtumikisha miaka sita bila mkataba, hata alipowaambia kuwa azam wanataka kumpa mkataba, akaja kuwaambia mkachukulia powa tu, hadi alipowaletea mkataba sasa OG, ndio mkaona mmpe mkataba wa milioni 4, mkataba wenyewe masharti kibao !!huku ameshabanwa kimkataba halafu mnono!!ukitaka kuuvunja huu milioni 300!!na
 
Hivi tabia ya mtu mlemavu mnaijua, kila kitu kwake anaonewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na dhana potofu hizo, jikite kwenye hoja, yaani mtu kudai kuwa ametumikishwa miaka sita bila mkataba , eti ni sawa?!!unajua ni stahiki ngapi amezikosa kwa kitendo hicho?!!na serikali imekosa kodi kiasi gani hapo?!kwani sheria za kazi ziko wazi,
 
Yaani wanaomtetea Manara saivi ni Yanga duh!!![emoji23][emoji23]
Ndio tulio baki na akili zetu kwani wakati manara anakosea tuliwaambia na nyie kwa ufinyu wenu wa akili hamkuona hili Leo sisi tunaangalia hoja pia kama hujui kimbembe cha muhindi kafanye kazi
 
1. Je, Kisheria baada ya jana Haji Manara kuitaja Kampuni ya Azam akiihusisha kuwa na Vita ya Chuki na Kampuni za Mohammed Dewji yuko salama kama aliyeguswa akitaka Kumshtaki?

2. Je, kati ya aliyekuwa CEO Magori ambaye hakuwa kumpa Mkataba wowote Haji Manara na CEO Barbara ambaye kwa mwaka mzima alimpa Mkataba wa Milioni 4 kwa Mwezi ila akawa hataki nani ni Mzuri Kwake na nani alikuwa hamthamini?

3. Katika Sheria za Ajira na Miiko ya Kazi moja wapo ikiwa ni Kutokutoa Siri za Taasisi / Kampuni hivyo basi je, leo hii kwa Mambo ya Siri (ya ndani ya Menejimenti) ya Klabu aliyoyasema Haji Manara Simba SC ikiamua Kumshtaki Mahakamani atakuwa salama?

4. Je, kati ya Haji Manara ambaye amekiri kuwa amekaa Simba SC miaka Sita (6) bila kuwa na Mkataba huku akiridhika na Hali hiyo na Klabu ya Simba ambayo haikumpa huo Mkataba ni nani ni Mjinga (Ngumbaru) na Mpumbavu (Popoma ) hasa?

5. Haji Manara mara kwa mara amekuwa akisikika akiwadhihaki na akiwadharau Waandishi wa Habari akiwaita Takataka je, Haji Manara jana kaongea na Waandishi wa Habari Takataka au Waandishi wa Habari wa Kimataifa?

6. Je, ni kweli kuwa Haji Manara ndiyo Kainyanyua Simba SC Kiumaarufu tokea ianzishwe mwaka 1936 na kwamba Yeye ndiyo ana Thamani Kubwa kuliko Wazee wote wa Simba SC ambao tena wameifia Simba kwa kujitoa Mhanga ili aikute Simba SC hii aliyoikuta Yeye? Mfano Mzee Bamchawi na Wengineo.

7. Je, kwa tabia ya Umbea na Kuropoka aliyonayo Haji Manara mpaka ya Kutoa Siri za Taasisi na Kampuni unadhani kuna Vilabu vingine au Kampuni ( Corporates ) zingine leo hii zitathubutu kutaka Kufanya Kazi nae?

Ninayasubiri sana tu Majibu yenu hapa.

1. Muachie Azam, Manara kaisifia Azam humohumo. Tumia akili kujua Azam anaijua hii press kabla hata ya jana.

2.Manara kaishasema CEO hatoi Ajira wala hawezi kuajiri. Yupo anayeajiri(sikiliza tena). Pia Hajji kasema mkataba wa abt 3M alipewa baada ya Deal ya YAKE NA aZAM (Wivu wa Mo)

3. Manar hajawahi kuajiriwa Simba Sc. Alikuwa kibarua tu.

4.Mjinga, Mpumbavu na Popoma ni Manara. Lakini Brabd yake imekuwa sana kwa miaka hiyo sita ndo maana ana mikataba minono ASAS, AZAM NA GSM

5.Hakumaanisha wote, LAKINI AMEWAOMBA RADHI MAPEMA TU JANA. hILO WAACHIE WENYEWE TAKATAKA WATAJUA CHA KUAMUA. Waandishi hawasusi kama wewe, wao wanahitaji Headlines

6. Manara hajasema kuwa yeye ni Mkubwa kuliko Simba, na hajasema kama yeye ndo kainyanyua Simba. Manara kaeleza harakati zake na jitihada zake kuipigania timu wakati wa NJAA na matukio kadhaa yaliyotukia. Akasema kama alipambana wakati wa njaa basi hawezi hujumu wakati wa mavuno. Mje mkanushe kuwa hizo jitihada hakuzifanya au alikuwa halipi tiketi zeke binafsi kusafiri na timu.

7.Manara siyo Mbeya bali ni Mropokaji kwa maana halisi ya Umbea. Kama kampuni itakuwa na tabia Mbovu za Mo na Babra sidhani kama watakubali.

Mind You , ile Press ya jana Imemvua nguo Mo. Na kwa kuogopa kuwekwa Uchi zaidi Mo akae kimya. Hajji kafagia tu Uwanja ana Mengi mpaka ya huyo BM23.

tUSUBIRI PIA sENZO NA dIAMOND pLATINUMZ WAJE WAKANUSHE ALICHOSEMA manara. Kwa ukimya wao inaonekana wazi Mo na Babra ndo Simba na Sc
 
1. Je, Kisheria baada ya jana Haji Manara kuitaja Kampuni ya Azam akiihusisha kuwa na Vita ya Chuki na Kampuni za Mohammed Dewji yuko salama kama aliyeguswa akitaka Kumshtaki?

2. Je, kati ya aliyekuwa CEO Magori ambaye hakuwa kumpa Mkataba wowote Haji Manara na CEO Barbara ambaye kwa mwaka mzima alimpa Mkataba wa Milioni 4 kwa Mwezi ila akawa hataki nani ni Mzuri Kwake na nani alikuwa hamthamini?

3. Katika Sheria za Ajira na Miiko ya Kazi moja wapo ikiwa ni Kutokutoa Siri za Taasisi / Kampuni hivyo basi je, leo hii kwa Mambo ya Siri (ya ndani ya Menejimenti) ya Klabu aliyoyasema Haji Manara Simba SC ikiamua Kumshtaki Mahakamani atakuwa salama?

4. Je, kati ya Haji Manara ambaye amekiri kuwa amekaa Simba SC miaka Sita (6) bila kuwa na Mkataba huku akiridhika na Hali hiyo na Klabu ya Simba ambayo haikumpa huo Mkataba ni nani ni Mjinga (Ngumbaru) na Mpumbavu (Popoma ) hasa?

5. Haji Manara mara kwa mara amekuwa akisikika akiwadhihaki na akiwadharau Waandishi wa Habari akiwaita Takataka je, Haji Manara jana kaongea na Waandishi wa Habari Takataka au Waandishi wa Habari wa Kimataifa?

6. Je, ni kweli kuwa Haji Manara ndiyo Kainyanyua Simba SC Kiumaarufu tokea ianzishwe mwaka 1936 na kwamba Yeye ndiyo ana Thamani Kubwa kuliko Wazee wote wa Simba SC ambao tena wameifia Simba kwa kujitoa Mhanga ili aikute Simba SC hii aliyoikuta Yeye? Mfano Mzee Bamchawi na Wengineo.

7. Je, kwa tabia ya Umbea na Kuropoka aliyonayo Haji Manara mpaka ya Kutoa Siri za Taasisi na Kampuni unadhani kuna Vilabu vingine au Kampuni ( Corporates ) zingine leo hii zitathubutu kutaka Kufanya Kazi nae?

Ninayasubiri sana tu Majibu yenu hapa.
Jikite kwenye kujibu hoja za manara hizi ngonjera unazotuandikia apa hazina kichwa wala miguu, fafanua alichokisema manara hoja ujibiwa kwa hoja na sio vijembe na kejeli mkuu avikusaidii chochote maana wenye akili tunajua manara kaongea point tupu tunasubili mjibu hoja zake moja baada ya nyingine
 
Tibu kwanzA hiyo inferiority complex yako nakujiona upo chini kisa huna hela au una udhaifu flani then

Tafuta bando kaa chini msikilize vzr Manara kwa lisaa moja nusu then utamuelewa.

Kama uweZo wako ni mdogo kuhisi hisia za wengine usiwe mwepesi wa kuhukumu.Jifunze kwanza kutumia hisia kuwasikiliza watu wanapitia nini ndo ulete u much know wako.
 
.
Screenshot_20210805-133202-1.jpg
 
1. Je, Kisheria baada ya jana Haji Manara kuitaja Kampuni ya Azam akiihusisha kuwa na Vita ya Chuki na Kampuni za Mohammed Dewji yuko salama kama aliyeguswa akitaka Kumshtaki?
Hili kosa alilifanya Hanspope baada ya kuitaja GSM ila kwa mahaba yako kwa MO unaona kosa la haji tuu

2. Je, kati ya aliyekuwa CEO Magori ambaye hakuwa kumpa Mkataba wowote Haji Manara na CEO Barbara ambaye kwa mwaka mzima alimpa Mkataba wa Milioni 4 kwa Mwezi ila akawa hataki nani ni Mzuri Kwake na nani alikuwa hamthamini?
Hili ameri jibu vizuri haji kuwa yeye ni ambassador wa Azam, Asas na Kampuni nyingine mkataba wa barbra hautaki haji awe ambassador na kampuni nyingine ambayo inatoa huduma sawa na mzamini wa Simba ambaye ni Mo sasa cha kujiuliza yeye anaingia mkataba na club ya Simba ama kampuni ya Mo ndo mana akakacha nadhani hata wewe na akili zako ndogo hizi ungekacha upige mishe mjini hapa
3. Katika Sheria za Ajira na Miiko ya Kazi moja wapo ikiwa ni Kutokutoa Siri za Taasisi / Kampuni hivyo basi je, leo hii kwa Mambo ya Siri (ya ndani ya Menejimenti) ya Klabu aliyoyasema Haji Manara Simba SC ikiamua Kumshtaki Mahakamani atakuwa salama?
Mahakama inaskiliza pande mbili siwezi kuingilia kabisaaa
4. Je, kati ya Haji Manara ambaye amekiri kuwa amekaa Simba SC miaka Sita (6) bila kuwa na Mkataba huku akiridhika na Hali hiyo na Klabu ya Simba ambayo haikumpa huo Mkataba ni nani ni Mjinga (Ngumbaru) na Mpumbavu (Popoma ) hasa?
Nadhan wewe na mimi ni mashahidi wa mapenzi ya haji kwa mpira wa Tanzania na club yenu ya Simba

5. Haji Manara mara kwa mara amekuwa akisikika akiwadhihaki na akiwadharau Waandishi wa Habari akiwaita Takataka je, Haji Manara jana kaongea na Waandishi wa Habari Takataka au Waandishi wa Habari wa Kimataifa?
Sasa hivi ndo mnaona kuna shida wakati tulikuwa tunaambia
6. Je, ni kweli kuwa Haji Manara ndiyo Kainyanyua Simba SC Kiumaarufu tokea ianzishwe mwaka 1936 na kwamba Yeye ndiyo ana Thamani Kubwa kuliko Wazee wote wa Simba SC ambao tena wameifia Simba kwa kujitoa Mhanga ili aikute Simba SC hii aliyoikuta Yeye? Mfano Mzee Bamchawi na Wengineo.
Kwenye hili muda utaongea

7. Je, kwa tabia ya Umbea na Kuropoka aliyonayo Haji Manara mpaka ya Kutoa Siri za Taasisi na Kampuni unadhani kuna Vilabu vingine au Kampuni ( Corporates ) zingine leo hii zitathubutu kutaka Kufanya Kazi nae?
Nadhani zipo nyingi ikiwemo Azam ambaye ndio mpinzani wa mo kuanzia energy, maji na bidhaa nyingine ila najua kwa roho yako mbaya hutamani haji apate kazi ili roho yako mbaya itimie

Ninayasubiri sana tu Majibu yenu hapa.
Nadhan nime jibu ila unaonekana una roho mbaya na haji unapatamani haji alost uje umcheke
Sisi Yanga tulikuwa tunamchukia kwa sababu alikuwa anatunanga sana hasa lile jina la utupolo ila hatukutaman alost kama nyie mnavyo muombea
 
1. Je, Kisheria baada ya jana Haji Manara kuitaja Kampuni ya Azam akiihusisha kuwa na Vita ya Chuki na Kampuni za Mohammed Dewji yuko salama kama aliyeguswa akitaka Kumshtaki?

2. Je, kati ya aliyekuwa CEO Magori ambaye hakuwa kumpa Mkataba wowote Haji Manara na CEO Barbara ambaye kwa mwaka mzima alimpa Mkataba wa Milioni 4 kwa Mwezi ila akawa hataki nani ni Mzuri Kwake na nani alikuwa hamthamini?

3. Katika Sheria za Ajira na Miiko ya Kazi moja wapo ikiwa ni Kutokutoa Siri za Taasisi / Kampuni hivyo basi je, leo hii kwa Mambo ya Siri (ya ndani ya Menejimenti) ya Klabu aliyoyasema Haji Manara Simba SC ikiamua Kumshtaki Mahakamani atakuwa salama?

4. Je, kati ya Haji Manara ambaye amekiri kuwa amekaa Simba SC miaka Sita (6) bila kuwa na Mkataba huku akiridhika na Hali hiyo na Klabu ya Simba ambayo haikumpa huo Mkataba ni nani ni Mjinga (Ngumbaru) na Mpumbavu (Popoma ) hasa?

5. Haji Manara mara kwa mara amekuwa akisikika akiwadhihaki na akiwadharau Waandishi wa Habari akiwaita Takataka je, Haji Manara jana kaongea na Waandishi wa Habari Takataka au Waandishi wa Habari wa Kimataifa?

6. Je, ni kweli kuwa Haji Manara ndiyo Kainyanyua Simba SC Kiumaarufu tokea ianzishwe mwaka 1936 na kwamba Yeye ndiyo ana Thamani Kubwa kuliko Wazee wote wa Simba SC ambao tena wameifia Simba kwa kujitoa Mhanga ili aikute Simba SC hii aliyoikuta Yeye? Mfano Mzee Bamchawi na Wengineo.

7. Je, kwa tabia ya Umbea na Kuropoka aliyonayo Haji Manara mpaka ya Kutoa Siri za Taasisi na Kampuni unadhani kuna Vilabu vingine au Kampuni ( Corporates ) zingine leo hii zitathubutu kutaka Kufanya Kazi nae?

Ninayasubiri sana tu Majibu yenu hapa.
Mkuu GENTAMYCINE nikueleze kitu kimoja, Manara hakumis behave tu kwa waandishi wa habari bali hadi kwa viongozi wa Yanga. Alitaka kuupeleka utani huu wa enzi na enzi mpaka kutaka kuleta chuki. Mkuu GENTAMYCINE mbona hujaligusia, mkuu unamtoto nyumbani anakwenda kutukana majirani tena matusi ya waziwazi anakuja nyumbani unampigia makofi kuwa yupo sahihi na anafundisha adabu watu, kumbuka mtoto anakuwa na hiyo tabia, sasa je akija kukutukana kesho tena mbele ya hadhara lazima wale majirani watamuunga mkono maana kipind wao wanateseka wewe ulishangilia. Manara yupo sawa maana mlimwendekeza nyinyi Mashabiki wa Simba akajiona mkubwa. GENTAMYCINE usilete double standard kuwa alitukana waandishi, jumlisha na viongozi wa Yanga kwenye bandiko lako ili lilete msisimko, ili tukataze hizi tabia za wasemaji kuwa waropokaji maana leo kwangu kesho kwako.
 
Achana na dhana potofu hizo, jikite kwenye hoja, yaani mtu kudai kuwa ametumikishwa miaka sita bila mkataba , eti ni sawa?!!unajua ni stahiki ngapi amezikosa kwa kitendo hicho?!!na serikali imekosa kodi kiasi gani hapo?!kwani sheria za kazi ziko wazi,
Unawezaje kufanya kazi kwa miaka sita bila mkataba?Angeona anaonewa si angeondoka tu.Mbona miaka hiyo mitano alikuwa chini ya akina Magori,alishindwa nini kuwadai mikataba?
 
Back
Top Bottom