Wale wote tuliwahi kutuma nauli na Mwanamke hakuja tukutane hapa kupunguza machungu

Wale wote tuliwahi kutuma nauli na Mwanamke hakuja tukutane hapa kupunguza machungu

Cmfungua

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2021
Posts
381
Reaction score
1,083
Mie niko dar ila nilienda kurefresh akili mkoa wa Arusha kama week 1 nikakutana na mdada mrembo sana. Kama kawaida yang kidume nikajisemea lazma uyuu mtoto nimsajili kwenye team yang tukabadirishana number vzr tuu.

Baada ya mapumzko yang ya week moja kuisha nikarud zangu Dar Nikawa nachati na mtoto vzr tuuu ananipa ushirikiano mzur
Nikaanza kumpgia sound mtoto akaingia line Ikawa kila asbh lazma anijulie hali full kunipa maneno mazur, mchana lazma ajue niko wap nafanya nn usiku tunaongea kama nusu saa vile

Kidume nikasema nmepata mtoto mzur ikapita mwez na week 3 hv nikamwambia mtoto njoo dar mtoto akasema poa ila kiuchumi siko poa. Nikaona isiwe case mtoto nikamwambia nikutumie bei gan kusud uje mtoto akasema tuma kama elf 50 ila nikija dar nakaa siku 3 tuuu narud kazn Nkaona hapa nmepata mtoto mzur nikaenda kwa wakala nikaweka elf 60 nkamtumia Tukapanga kesho yake aanze safar mara siko poa mara leo haijakaa vzr kusafiri

Visingizio vikawa vingi ikapita siku tatu mara simu yangu hapokei
Nikaona hapa NIMEPIGWA

Nikaanza kumtumia msg za vitisho kusud arudishe hela wap
Nikamwambia ntakufanya kitu kibaya nataka hela yang lkn wap

KIUKWELI NILITAPELIWA HELA YANGU NMEUMIA SANA

 
Wewe fala, ulishindwa kurudisha muamala?

Ok basi, umeshindwa wala usingemtukana, ungejifanya umechukulia poa...sanasana ukaendelea kujipost post aone una Mpunga.

Then kuna siku ungeenda Arusha. Ukajifanya una dharura ya kikazi ila unarudi baada ya siku mbili

Kangejaa tu, vyovyote vile, hata ungekambia nitakupa na hela ya matumizi baby...

Kangejaa...kakajaa ukakalaa mzigooo, ikiwezekana hata unakafukua mtaro kwa ahadi ya kukuaongezea helaa, alafu ukishamalizana naye hapo unamrushia Pesa kwa njia ya Simu hata laki moja ivi.

Baadae ukishatoka nje ya Lodge, unarudisha muamala wako as if ulituma kimakosa.

Hayo maumivu yake[emoji23]

Hatorudia tena kuliwa papuchi kwa ahadi[emoji23]
 
Mie niko dar ila nilienda kurefresh akili mkoa wa Arusha kama week 1 nikakutana na mdada mrembo sana.
Kama kawaida yang kidume nikajisemea lazma uyuu mtoto nimsajili kwenye team yang tukabadirishana number vzr tuu.



KIUKWELI NILITAPELIWA HELA YANGU NMEUMIA SANA View attachment 1873041
Wewe ni boya. Hiyo elfu 60 ilitosha kabisa siku uliyokutana nae kumaliza mchezo siku hiyo hiyo.
 
Mie niko dar ila nilienda kurefresh akili mkoa wa Arusha kama week 1 nikakutana na mdada mrembo sana.
Kama kawaida yang kidume nikajisemea lazma uyuu mtoto nimsajili kwenye team yang tukabadirishana number vzr tuu.

Baada ya mapumzko yang ya week moja kuisha nikarud zangu dar
Ni
Kwenye picha ndio Tapeli Mwenyewe [emoji28][emoji28][emoji28]
 
🤣🤣🤣 umenikumbusha mbali mkuu miaka hio ya 2012 humu jf Kuna mzee baba alinitumia nauli mm nkaila🤣🤣🤣acha aanze kunambia kua ataniloga na vitisho kaa vyote kisa elfu 50 tu🤣🤣🤣sijui kaa bado yupo humu jf 🤣🤣long tym
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] umenikumbusha mbali mkuu miaka hio ya 2012 humu jf Kuna mzee baba alinitumia nauli mm nkaila[emoji1787][emoji1787][emoji1787]acha aanze kunambia kua ataniloga na vitisho kaa vyote kisa elfu 50 tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]sijui kaa bado yupo humu jf [emoji1787][emoji1787]long tym
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] umenikumbusha mbali mkuu miaka hio ya 2012 humu jf Kuna mzee baba alinitumia nauli mm nkaila[emoji1787][emoji1787][emoji1787]acha aanze kunambia kua ataniloga na vitisho kaa vyote kisa elfu 50 tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]sijui kaa bado yupo humu jf [emoji1787][emoji1787]long tym
Haaaaa hela inauma nyie aisee unawaza bora ningemtumia bi mkubwa kuliko uyuu demu
Unawaza bora ungejaza gas tuuu
 
Back
Top Bottom