Hiyo pesa tangu mwaka umeanza hujawahi tuma kwa mamako kenge kubwa 🤣.
SIKIA KWENYE KUELEKEA UCHUMI WA KATI, LAZIMA KUBANA MATUMIZI.
Huko kwenu Hakuna mama lishe, Mbeki tatu, wauza duka, famasi, hawa ndio wadau. Wape penzi ,wape upendo, watakusaidia pia ukikwama.Na hawana gharama, na bado watamu,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.