Wale wote waliokatishwa ndoto zao na TCU pitia hapa.

Wale wote waliokatishwa ndoto zao na TCU pitia hapa.

Mbagala stendi

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2020
Posts
331
Reaction score
383
Habari wadau na wakereketwa wote wa elimu ya bongo.

Mimi ni kijana mwenzenu ambaye TCU ishanikatisha ndoto za kuwa daktari si bongo tu dunia nzima MD ina ushindani sana. TCU guide book imetudanganya sana mwaka huu maelfu ya watanzania wamepoteza pesa zao katika application na baadh ya university zilikuwa na gharama kubwa mfano cuhas, kcmc ...... Can you imagine mtu anaomba MD vyuo karibia tisa 9 na hachaguliwi chuo chochote.

hila maisha ni popote usikate tamaa kwa kukatishwa ndoto zako. If the currently plan does not work change the plan but never change.
the goal .
Mungu atakusaidia utatimiza ndoto na malengo yako hila kama ni kwa mapenzi yake.
kuna wakati tunatakiwa kujitathimini kwa kina hapa naongelea hasa wale freshers na diploma's usiforce course ya kusoma kama hauna vigezo stahiki utapoteza pesa nyingi sana.

nawatakia mema wale wote waliopata nafasi ya kusoma University na college.
 
Habari wadau na wakereketwa wote wa elimu ya bongo.

Mimi ni kijana mwenzenu ambaye TCU ishanikatisha ndoto za kuwa daktari si bongo tu dunia nzima MD ina ushindani sana. TCU guide book imetudanganya sana mwaka huu maelfu ya watanzania wamepoteza pesa zao katika application na baadh ya university zilikuwa na gharama kubwa mfano hila maisha ni popote usikate tamaa kwa kukatishwa ndoto zako. If the currently plan does not work change the plan but never change the goal .
Hebu fafanua vizuri ni nini walichofanya kukatisha ndoto za wengi.
 
Hebu fafanua vizuri ni nini walichofanya kukatisha ndoto za wengi.
Wameshusha points katika baadhi ya faculty za afya mfano MD, Bpharm .....
Wakati dhahiri vyuo vinavyofundisha vipo vichache course za afya na corona imefanya watu wafaulu sana. mfano kuna chuo kimoja unapofanya application system inasema you have quantified to this course lakini selection zikija system inaandika you have not been selected because you are not prior admission. (Hahuna kiingilio cha awali).
 
Kuna mtu alisema kila unalolitaka litakua ila sio kwa wakati unaotaka wewe, so maybe nafasi yako ni mwaka ujao, au itabidi upite C.O then university, Huwezi jua!!
Ni kweli usemayo kila mtu kaandaliwa njia ya kupitia kuna wengine ni njia nyepesi na wengine hili kufikia malengo yao ni lazima wapite njia ndefu.
Ukubwa wa ndoto zako ni sawa na ukubwa utakaoutumia kufikia lengo lako.
 
Kama kweli wana nia ya kuwa madaktari kuokoa maisha ya watu bhasi wafight kuifikia ndoto

Lakini kama wanatafuta hela namaanisha hela MD utasubiri kuzifikia baada ya kumaliza

Kuna course zina pesa wasikariri otherwise hawatafuti hela ndo waende MD
 
Nilikuwa kama wewe, nilikuwa napenda kuwa daktari tena ikiwezekana niendelee mpaka na masters hukoo... Nimekaa home miaka 2 nimeomba diploma CO vyuo vya serikali...kila nikiomba natemwa nikajisemea moyoni labda Mungu hakupanga niwe daktari labda Mungu ananiepusha na huko ninapotaka kwenda, nikabadilisha field nikatumia cheti cha form 4 nikaomba field za Engineering & Technology nimepata pale DIT first Round mapema tu...

Sometimes lazima ukubaliane kwamba Sio kila kitu kitime..sisi tunapanga, Mungu nae anapanga...nimefungua moyo wangu na sasaivi nafurahia huko ni apokwenda kuanza maisha mapya..
 
Kama kweli wana nia ya kuwa madaktari kuokoa maisha ya watu bhasi wafight kuifikia ndoto

Lakini kama wanatafuta hela namaanisha hela MD utasubiri kuzifikia baada ya kumaliza

Kuna course zina pesa wasikariri otherwise hawatafuti hela ndo waende MD
Kwanza kabisa udaktari ni wito kama walivyo masista na mapadre wale wakatolic nahisi mnanielewa vizuri. Kwahyo kuna wengine tuna maoenzi ya dhati kabisa katika jambo hili na sio kutafuta pesa tu.
 
Nilikuwa kama wewe, nilikuwa napenda kuwa daktari tena ikiwezekana niendelee mpaka na masters hukoo... Nimekaa home miaka 2 nimeomba diploma CO vyuo vya serikali...kila nikiomba natemwa nikajisemea moyoni labda Mungu hakupanga niwe daktari labda Mungu ananiepusha na huko ninapotaka kwenda, nikabadilisha field nikatumia cheti cha form 4 nikaomba field za Engineering & Technology nimepata pale DIT first Round mapema tu...

Sometimes lazima ukubaliane kwamba Sio kila kitu kitime..sisi tunapanga, Mungu nae anapanga...nimefungua moyo wangu na sasaivi nafurahia huko ni apokwenda kuanza maisha mapya..
Ongera kapambane kiongozi.
 
Back
Top Bottom