Mbagala stendi
JF-Expert Member
- Nov 8, 2020
- 331
- 383
Habari wadau na wakereketwa wote wa elimu ya bongo.
Mimi ni kijana mwenzenu ambaye TCU ishanikatisha ndoto za kuwa daktari si bongo tu dunia nzima MD ina ushindani sana. TCU guide book imetudanganya sana mwaka huu maelfu ya watanzania wamepoteza pesa zao katika application na baadh ya university zilikuwa na gharama kubwa mfano cuhas, kcmc ...... Can you imagine mtu anaomba MD vyuo karibia tisa 9 na hachaguliwi chuo chochote.
hila maisha ni popote usikate tamaa kwa kukatishwa ndoto zako. If the currently plan does not work change the plan but never change.
the goal .
Mungu atakusaidia utatimiza ndoto na malengo yako hila kama ni kwa mapenzi yake.
kuna wakati tunatakiwa kujitathimini kwa kina hapa naongelea hasa wale freshers na diploma's usiforce course ya kusoma kama hauna vigezo stahiki utapoteza pesa nyingi sana.
nawatakia mema wale wote waliopata nafasi ya kusoma University na college.
Mimi ni kijana mwenzenu ambaye TCU ishanikatisha ndoto za kuwa daktari si bongo tu dunia nzima MD ina ushindani sana. TCU guide book imetudanganya sana mwaka huu maelfu ya watanzania wamepoteza pesa zao katika application na baadh ya university zilikuwa na gharama kubwa mfano cuhas, kcmc ...... Can you imagine mtu anaomba MD vyuo karibia tisa 9 na hachaguliwi chuo chochote.
hila maisha ni popote usikate tamaa kwa kukatishwa ndoto zako. If the currently plan does not work change the plan but never change.
the goal .
Mungu atakusaidia utatimiza ndoto na malengo yako hila kama ni kwa mapenzi yake.
kuna wakati tunatakiwa kujitathimini kwa kina hapa naongelea hasa wale freshers na diploma's usiforce course ya kusoma kama hauna vigezo stahiki utapoteza pesa nyingi sana.
nawatakia mema wale wote waliopata nafasi ya kusoma University na college.