Mr. Mobile
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,439
- 1,633
Nataka kubadirisha simu baada ya kutumia haka ka tecno kangu kwa muda mrefu, nimefuatilia huu uzi kwa muda mrefu na nimeshawishika kumiliki xiaomi ila kwa bajeti yangu ilivyo kaa ndivyo sivyo nimeona kuna simu aina tatu naweza kumiliki ambazo kwa specification naona si mbaya kuna,Redmi 5 plus, redmi 5 pro na Mi A1(5x),sijui ni ipi hapo ambayo nikinunua sitojuta.
Naombeni ushauri
Hizo model unazo tizamia kununua ni kazi kuzipata sokoni kwa sasa. Ebu angalia Redmi 7, Mi A2 Lite, Mi Play. Nadhani hizi utazipata kwa bajeti ya wastani na zipo nyingi sokoni.
Sawa. Je zinauzwa condition gani? Ni mpya au mitumba?Shukran kiongozi kwa ushauri, ila kuna sehemu nimeziona zinauzwa ndo maana nikataka kupata ushauri kidogo kabla sijaingia mkenge
Hiyo redmi 5plus ni mpya ila redmi 5pro na mia a1 ndo mtumbaSawa. Je zinauzwa condition gani? Ni mpya au mitumba?
Hiyo ni Redmi Note 5 Pro? Maana hilo toleo Redmi 5 Pro halipo. Na unaweza kututajia bei zake? Tujue tunakushauri vipi,...Hiyo redmi 5plus ni mpya ila redmi 5pro na mia a1 ndo mtumba
Mkuu Kuna wadau hawana mpango na matoleo mapya!!!Hizo model unazo tizamia kununua ni kazi kuzipata sokoni kwa sasa. Ebu angalia Redmi 7, Mi A2 Lite, Mi Play. Nadhani hizi utazipata kwa bajeti ya wastani na zipo nyingi sokoni.
Mkuu Kuna wadau hawana mpango na matoleo mapya!!!
Mshkaji kataka redmi note 6 pro ambazo fantancy haikuwa nazo so ikabidi nimchukulie kule Gearbest sababu hakutaka kusikia cha redmi note 7, mi a2, mi 8lite.....
Juzi kati fantancy ndo kazirudisha sokoni
Xiaomi ndo zimu zinaongoza kwa kutoa mionzi... aka radiations hivyo si salama kiafa kwa upande mwingine... View attachment 1088669
Samsung note 8 ndo inaongoza kwa kutoa kiasi kidogo cha mionzi... kiujumla simu za samsung, zte, lg na motorolaSimu gani inatoa mionzi kwa kiwango kidogo?
Simu gani inatoa mionzi kwa kiwango kidogo?
Hii je lenovo k5 play ? Maana sijaiona kwenye listUnaweza kupitia hapa
List of High and Low Radiation Emitting Smartphones Is Out, Samsung & Apple Have a Huge Presence in It!
BfS research shows that Samsung Galaxy Note8, out of all the smartphones, generates the least amount of radiation (0.17 watts per kilogram, to be more specific).www.digitalinformationworld.com
Xiaomi ndo zimu zinaongoza kwa kutoa mionzi... aka radiations hivyo si salama kiafa kwa upande mwingine... View attachment 1088669
Kimsingi simu zote sio salama cuz zinatoa radiations.. Ni kweli brand za xiaomi zinatoa radiations ukicompare na makampuni mengine makubwa , ila zinatoa radiations katika kiwango ambacho kimeruhusiwa na mamlaka inayodhibiti usalama wa hiv vifaa .Samsung note 8 ndo inaongoza kwa kutoa kiasi kidogo cha mionzi... kiujumla simu za samsung, zte, lg na motorolaView attachment 1088752
**** measures pia zakujilinda na hii mionzi kwa simu zote in general...Xiaomi ndo zimu zinaongoza kwa kutoa mionzi... aka radiations hivyo si salama kiafa kwa upande mwingine... View attachment 1088669
Kwa taarifa hii sio kuwa simu za Xiaomi zinaongoza, mi a1 model ndio inaongoza.Xiaomi ndo zimu zinaongoza kwa kutoa mionzi... aka radiations hivyo si salama kiafa kwa upande mwingine... View attachment 1088669
Mwenzio katoa jibu la jumla!Kwa taarifa hii sio kuwa simu za Xiaomi zinaongoza, mi a1 model ndio inaongoza.